Manchester United 0-1 Burnley. Goal by Chris Wood akipewa Escort na Harry Maguaire.
Inaelekea kijana kashapata uhakika wa kuona parade ya EPL. Imembidi achurupuke alipojificha kwa muda wote huu. Anyway hawa You never slip alone while Steven Gerrard is here wasikuumize kichwa watapotea baada ya misimu 2.Ebana ehe.. leo umeibuka lol, kwasababu United tumefungwa lol
Haya hongera sana naona kipofu kaona mwezi msimu huu mnanyanyua
Ngoja tutimue watu kwanza msimu ujao tule vichwa vyote
rubaman umemuona kijana anavyofurahia matatizo yetu
Mkuu inaelekea utaangusha ng'ombe 30 ifikapo May. Shauku ya kunyanyua EPL inazidi kupamba moyoni umeshindwa kuendelea kujichimbia.hahah usimuingize ndugu yangu Rubaman kwenye balaa lako hahaha akifikiria beki zake anaona kwanini hakuwa mchezaji mpira akalipwa pesa anazolipwa Mustafi kweli sio kumuomba Mungu tu inataka nabidii waifanya bidii kufika pale tehteh!
Inaelekea kijana kashapata uhakika wa kuona parade ya EPL. Imembidi achurupuke alipojificha kwa muda wote huu. Anyway hawa You never slip alone while Steven Gerrard is here wasikuumize kichwa watapotea baada ya misimu 2.
Miaka 2 Arsenal watalibeba tena. Liverpool watasubiri 30 yrs againBaada ya Misimu Miwili tukishapotea nyinyi Arsenal mutaibuka lini?
TUMEANZA KUELEWANA SASA KUHUSU MARTIAL.HT
Tupo nyuma kwa goli moja
DJ, Pereira, Martial hawastahili kuwa 1st eleven ya Man Utd, labda wawe squad player
Tunakosa ubunifu sehemu ya mwisho ya uwanja, nachoshangaa pamoja na udhaifu huu bado kina Woodward wanasua sua kumleta Bruno, ambaye ata offer goals & assist, kipindi kigumu sana hiki kuwa Man utd fan
Naungana na kina Garry Neville and LVG tatizo la Man utd ni management kule juu, hata aje Pep kwa management ya kina Woodward hatofanya lolote, pia OGS hamna kitu yule, timu no progress
Ila waingereza wapole sana, wamejazana pale OT wanaisapoti timu yao, laiti ingekua ndio Simba Sc tunapata matokeo haya alafu kina MO wakawa wanazingua kuleta watu, tushakinukisha kitambo tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wasipepese, waseme wazi kuwa Ole nae ni shida nyingine, makocha waliopita walilaumiwa personally kwa timu kufanya vibaya na hata walipolalamika kwamba kuna shida za uongozi hakuna aliesikia, hawa hawa wachezaji wastaafu wakiongoza na Rio Ferdinand and Company ndio walikuwa wanakesha kwenye TV stations kukosoa makocha, sasa mwenzao kapewa timu, kutokana na unafaki wao shutuma sasa zimehama kutoka kwa kocha kwenda kwa Woodward.Nimefurahi watu senior like Garry Neville kuanza kumyoshea kidole Woodward hadharani, haiwezekani kila kocha awe mbovu uku yeye akiwa boss
Sent using Jamii Forums mobile app
Wameshakuwa viazi haoHahaha Yamepigwa tena hahaha
Kuwa fan wa Man united ni raha sana, Kila Siku shangwe tu
Sent using Jamii Forums mobile app
team ya ukoo mashabiki wake nao ni wajingaHivi Greazer Family awawezi kujiuzuru kama Mo Dewji wa Simba
wewe usini diss kwa Kiswahili kama haujui hata kukitamka.Utaitaje mashabiki wajinga, acha ukuma wewe , hii ni shida ya mashabiki? Acha ufala
Sent using Jamii Forums mobile app
Miaka 2 Arsenal watalibeba tena. Liverpool watasubiri 30 yrs again