Manchester United (Red Devils) | Special Thread

No. Kipaumbele changu sio striker (pekee), kipaumbele changu ni striker na kiungo mshambuliaji/creator

Mfano Pogba angekuwa anataka kuendelea kuwepo United angalau tungehitaji kiungo mtengenezaji 1, nimesema angalau. Sio timu nyingi duniani zenye viungo wazuri kama Fred, Matic na Scoty katika timu zao. Kwahiyo angalau tungempata mtu kama Fernandes B akisaidiana na Pogba kikosini (katika squad) tungeweza kuwa pazuri kwenye suala la creativity.

Upande wa mbele tungeweza kupata striker, na striker mzuri ambaye alikuwa available ni huyo dogo Haaland.
Sasa imagine tungemsajili Haaland halafu kabla ya January mwishoni tuwe tumemleta Bruno, timu ingekuwa katika hali nzuri kiasi gani

Hivi itokee Martial aumie sasa hivi hata mwezi tutakuwa kwenye hali gani kule mbele, maana huyo Rashy nimesikia atakuwa nje for few weeks


Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa huu mwenendo wetu kwenye soko la usajili itatuchukua miaka miwili kusajili nafasi hizo.
 
Yaani ni kituko

Midfield ni engine ya timu yoyote duniani

Hata beki iwe bora vipi, kama midfield ni mbovu beki itaonekana haina uwezo
Sijawahi kuwa na imani na martial mzembe sana halafu timu inashida sana eneo kiungo naonaga makocha wengi huwa wanaanza kujenga kiungo na mabek hii timu na uongozi sijui wanawaza nini yaani lingard na perreira wanaweza kuwa wabunifu wetu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kuna siku utakubali tulivyolalamika 2018 again nakukumbusha tena licha ya matatizo ya wachezaji OGS sio kocha wa kubadilisha chochote kwenye hii timu.Anafanya makosa makubwa na mengi sana Pogba & Rashford walikuwa na majeruhi lakini akawachezesha kwenye mechi zisizo na ulazima matokeo yake wataendelea kuwa nje kwa muda mrefu
 
Yani nyie binadamu wa ajabu sana. Mngeshinda mngesema timu pekee hamjafungwa na Liver, mngeongea mpaka midomo ikae upande, Liver wameshinda mnasema mnashangilia kuifunga the weak Manchester. Sasa mlikuwa mnataka tusinmshangilie bali tulie ama? Kama ni dhaifu mlitaka tusiifunge ili mseme tumewashimdwa au??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shughuli ya vvd si umeiona lakini?au na ww unajifanya huioni
 
Shughuli ya vvd si umeiona lakini?au na ww unajifanya huioni
Maguire anam-mark VVD kwenye Corner na kashindwa kumzuia kufunga.
alafu anakuja na hoja tunafurahia kuifunga machester dhaifu. Sasa sjui wao walivyokuwa wanatufunga kipindi cha kina Borini, Lambert, Ballo etc walikuwa wakilia badala ya kushangilia ama?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sitashangaa politician Ed na bodi wiki ijayo wakishusha usajili ili kuwa appease mashabiki

Mara ya mwisho, OT tukiwa tunaongoza 4 - 0 dhidi ya Norwich mashabiki wa Jukwaa la Stretford End walimdisi Ed na Glazer

Walimdisi tukiwa tunaongoza 4 - 0,sio kwamba tumefungwa, mnaweza ku imagine mashabiki walivyowachoka na jinsi hierarchy ya Man Utd itakavyokuwa desperate kuwapoza mashabiki

Hiyo ndio siasa kwenye soka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie shangilieni kwa raha zenu, na sisi tunaongea kwa raha zetu Mkuu

Ila ukweli unabaki pale pale and you know that the team you beat is one of the weakest United team you ever play against
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maguire alim mark VVD? Mimi Nimeona Williams ndio aliyem mark VVD, sema baada ya kona kupigwa ndio Maguire akafuata mpira
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie shangilieni kwa raha zenu, na sisi tunaongea kwa raha zetu Mkuu

Ila ukweli unabaki pale pale and you know that the team you beat is one of the weakest United team you ever play against

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa km ni dhaifu si mjitoe kwenye ligi mpk mtakapokua strong ndio mrudi.waachieni wapambanaji Watford hio nafasi
 
Maguire hajam-mark VVD kwenye ile kona ya goal, dogo Williams na Fred ndio walikua karibu.

In the end VVD alipiga free header.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…