huo mpira kabla haujafika kwa huyo striker inapendeza zaidi kama utaanzia kutengenezwa nyuma.
timu zote zinazocheza mfumo wa 3-5-2 zinafaidika zaidi na huduma ya wingback.
rejea juventus ya antonio conte na massimiliano allegri na hata chelsea ya conte.
hao wingback wetu umewaona brother?
muda wote wapo nyuma hata kama hawajabanwa na maadui halafu tutegemee maajabu ya antonio martial?
sometimes tunawaonea bure hawa striker wetu.