Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Lazima tusajili kiungo tena tungekuwa serious BF leo angecheza lakini tu napenda kuvuta mambo hadi zinabakia siku 2 au 1 ndio tunasajili
 
Kwa hiyo Mkuu tusisajili striker mpaka tutakaposajili wing back wazuri, mpaka tutakaposajili viungo wachezeshaji wazuri

Mwaka gani huo....... 2030 au 2050

Kwani huwa hatutengenezi nafasi hata chache, je tungekuwa na striker mzuri si tungetumia hata hizo nafasi chache tunazotengeneza


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walikua wanajifanya wanataka kufunguka salah akawapiga la pili.goli la 2,limewauma mashabiki wa man u.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…