GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 7,068
- 16,381
Yaani avunje mkataba na Mtu anaemsaidia kuingiza Pesa.Ningekuwa family ya pogba ningemwambia avunje uhusiano na huyu jamaa, kama unauwezo unauwezo tu. Raioula sio anayecheza, anayecheza ni mtu mwingine kabisa. In case attitude ni ya agent. Lakini kama wanafanana wangeoana kabisa tujue
Mamamamae
Inasemekana OGS ameanza kuchoshwa na tabia za kirusi na wakala wake
We are almost free from that virus
Sent using Jamii Forums mobile app
Juve, Psg?Nina wasiwasi hakuna club kubwa itakayomchukua Kirusi na anaweza fata nyayo za Mario Balotel
Sent using Jamii Forums mobile app
Issue ni wapo teyari kulipa dau ambalo ManUtd wanataka? £120milionJuve, Psg?
Sent using simu mbovu
We muache tuNina wasiwasi hakuna club kubwa itakayomchukua Kirusi na anaweza fata nyayo za Mario Balotel
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda nje ya uwanja,
Lakini kama ni ndani ya dimba, unakosea sana .
Note: Sipendezwi na tabia za Pogba na wakala wake pamoja na Media(50% hawa wanachangia).
Kwa manufaa ya Pande zote mbili(Man u vs Pogba), Pogba aondoke Summer.
Sent using simu mbovu
Muda sio mrefu ataanza kutafuta mchawi ni nani kama kawaida yake,,yeye hujitoa tu kwenye lawamaMaisha ya Mounrinho sio mazuri, angebaki na uchambuzi kule Skysport uku kaja kushusha cv yakeView attachment 1309583
Sent using Jamii Forums mobile app
"Kitu pekee kilichonifurahisha kwa huyu dogo kwenda Dortmund na sio kuja United, ni kutoongeza wigo wa kufanya biashara na tapeli Mino Raiola"Najua we are comfortable now, na kitendo cha Haaland kusajiliwa Dortmund hakiwaumi watu wengi sababu ma strikers wetu wote kwa sasa wapo fiti na wapo form, sidhani kama watu wangekuwa na mtazamo huo huo mwezi septemba, Oktoba na Novemba mwaka huu unaokwisha
Unasema tungesajili senior striker ili awafundishe, nimewahi kuuliza huko nyuma, senior striker unayewaongelea ambao wapo sokoni ni akina nani, sikupata majibu. Utanishangaza ukinitajia Mandzukic, Falcao, Ibrahimovic wakati tumemuacha Lukaku ambaye angeweza kufanya hiyo kazi ya "kuwafundisha madogo" kama unavyoshauri
Kwa sasa hivi kikosi chetu kina pure striker wawili, Martial na Greenwood ambaye bado hajacheza senior football kiasi cha kwamba akaaminiwa na kupewa majukumu ya timu, Rashy sio striker (sio namba 9), DJ sio namba 9.
Haaland sio senior (kwa idadi ya miaka aliyonayo), lakini ni senior kwa uzoefu wa kucheza senior football. Pamoja na kumbeza kwamba ametokea ligi laini, lakini kote huko amekuwa outstanding. Ligi ya mabingwa Ulaya ameng'ara, je na hayo ni mashindano nyoronyoro? Wachezaji wakubwa wote Ulaya tunawapitisha kuwa ni bora au wabovu kwa namna watakaocheza ligi ya mabingwa Ulaya.
Haaland ana magoli 8, ni wa pili nyuma ya Lewandowski mwenye magoli 10, na wanaomfuata wana goli 6, kwenye chati ya wafungaji wa UCL 2019/2020. Kuliweka suala hili ili lieleweke vizuri, Haaland kiufungaji yupo juu ya mchezaji anayetajwa kuja kuwa Ballon'dour winner siku zijazo, Mbape ambaye ana goli 5 kwenye UCL. Kwahiyo hapa tusikaririshane uongo kwamba dogo anafunga magoli ligi nyepesi nyepesi tu, huyu dogo ametoboa safu za ulinzi chini ya Koullibaly na VVD, kwa taarifa yako.
Nakukumbusha pia RB Salzburg, timu unayodai inacheza ligi nyepesi ndio imewaleta kwenye ulimwengu wa soka, akina Mane, Naby Keita, Minamino (Liverpool) Upemecano (RB Leipzig) n.k. Kwanini Haaland asiwe bora kisa tu ametokea ligi ya Austria.
OGS akiwa mchezaji alitokea Norway, Nesterloy alitokea Uholanzi, Delle Ali ametokea MK Dons timu ya ligi daraja la 3, Ibrahimovic alitokea Malmo ya Sweden, orodha ni ndefu sana.
Pia nikukumbushe, kuwa scouts wapo kwa ajili ya hiyo kazi, ya kutafuta diamonds kwenye mashimo na si kwenda kununua almasi kwenye masoko yaliyopo mjini
Mwisho nikwambie, kusajili siku zote huwa kuna asilimia flani ya gambling, kuna wakati unaweza ukasajili mchezaji na akacheza kwa kiwango ambacho haukukitazamia au akang'ara, kwa United kufanya gambling ya £20million tu kwa Haaland isinge disturb pochi nene ya Glazers.
Kitu pekee kilichonifurahisha kwa huyu dogo kwenda Dortmund na sio kuja United, ni kutoongeza wigo wa kufanya biashara na tapeli Mino Raiola
Huyu dogo ameshakwenda, tuangalie mambo mengine
Sent using Jamii Forums mobile app
Juve, Psg?
Sent using simu mbovu
Nakubaliana nawe katika hili. Nakumbuka enzi zile Ronaldo anataka kuondoka, na Madrid wakiwa wanamhitaji kweli kweli, tuliweza kudumu naye kwa misimu mitatu tu toka alivyoanza drama(baada ya kombe la dunia 2006). Sasa huyu kirusi, angekuwa anahitajiwa na Barca ama Madrid, tusingeweza kumsajiri mbele ya hao miamba mwaka ule wa 2016.Na Madrid anayemtaka ni Zidane tu, lakini hakuna kiongozi anaye fancy Pogba kwenda Madrid
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahhahaa mkuu ngpja waje kukutukanaChelsea naye anakata tu viuno..tushindwe tu sisi ku-take advantage,though bado mechi nyingi tu
Mkuu Mc cane afadhali umeliongea hili kwa maneno sahihi zaidi.Nimesema in a complete sense
Ina maana strengths za Pogba na weakness zake uki compare na strengths za Grealish na weakness zake
Utaona kwamba Pogba anaikaba United
Japo hata kisoka kirusi ni overhyped
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana aisee ukitoa De bruyne hakuna medfield yoyote uingereza kushinda Pogba.Nimesema in a complete sense
Ina maana strengths za Pogba na weakness zake uki compare na strengths za Grealish na weakness zake
Utaona kwamba Pogba anaikaba United
Japo hata kisoka kirusi ni overhyped
Sent using Jamii Forums mobile app
Tukijibu ni league. Ila mkiyaanzisha nyie si ligi? Hii mada si kaanzisha mwenzio huyo, sie tukajibu tuWakuu mnapendaga ligi za hiv hamna kocha asiefungika ktk ligi ni suala la muda tu na uwezo wa timu ki mbinu
Seems muna under estimate sana man U, kwamba mchezaji hawezi chagua Man u over hao Madrid na Barca? Wachezaji wa America kusini sawa ila wa ulaya wapo Wengi tu wanaoipenda Man U.Nakubaliana nawe katika hili. Nakumbuka enzi zile Ronaldo anataka kuondoka, na Madrid wakiwa wanamhitaji kweli kweli, tuliweza kudumu naye kwa misimu mitatu tu toka alivyoanza drama(baada ya kombe la dunia 2006). Sasa huyu kirusi, angekuwa anahitajiwa na Barca ama Madrid, tusingeweza kumsajiri mbele ya hao miamba mwaka ule wa 2016.
Mou siku zote msimu wa kwanza anakuwa hayupo vizuri.Kazi inazidi kuwa ngumu kwa Mou.
Wale shabiki zake sijui mna maoni gani juu yake hadi sasa.
Je Man u walikuwa sahihi kumtimua?
Sent using Jamii Forums mobile app