Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ningekuwa family ya pogba ningemwambia avunje uhusiano na huyu jamaa, kama unauwezo unauwezo tu. Raioula sio anayecheza, anayecheza ni mtu mwingine kabisa. In case attitude ni ya agent. Lakini kama wanafanana wangeoana kabisa tujue

Mamamamae
Yaani avunje mkataba na Mtu anaemsaidia kuingiza Pesa.

Sent using simu mbovu
 
Nimesema in a complete sense

Ina maana strengths za Pogba na weakness zake uki compare na strengths za Grealish na weakness zake

Utaona kwamba Pogba anaikaba United

Japo hata kisoka kirusi ni overhyped
Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Kitu pekee kilichonifurahisha kwa huyu dogo kwenda Dortmund na sio kuja United, ni kutoongeza wigo wa kufanya biashara na tapeli Mino Raiola"

Huyu dogo ameshakwenda, tuangalie mambo mengine


Mkuu nami naungana Sana na wewe katika Paragraph hiyo ya mwisho, Kwa kweli binafsi n
Minefurahi kushindikana kwa hilo deal kwa sababu ya Mino.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda Juve, PSG hawajawahi kumtaka Pogba na Pogba mara kibao amekuwa akisema kuwa hana mpango wa kwenda kucheza mji wa Paris. Nahisi mji/timu aliotoka Pogba una kitu flani ambacho kinamfanya kuwa kama msaliti akienda PSG

Kiujumla, hata akienda Juve Pogba is very average player, maximum a 65% player

Na Madrid anayemtaka ni Zidane tu, lakini hakuna kiongozi anaye fancy Pogba kwenda Madrid
Juve, Psg?

Sent using simu mbovu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na Madrid anayemtaka ni Zidane tu, lakini hakuna kiongozi anaye fancy Pogba kwenda Madrid

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakubaliana nawe katika hili. Nakumbuka enzi zile Ronaldo anataka kuondoka, na Madrid wakiwa wanamhitaji kweli kweli, tuliweza kudumu naye kwa misimu mitatu tu toka alivyoanza drama(baada ya kombe la dunia 2006). Sasa huyu kirusi, angekuwa anahitajiwa na Barca ama Madrid, tusingeweza kumsajiri mbele ya hao miamba mwaka ule wa 2016.
 
Nimesema in a complete sense

Ina maana strengths za Pogba na weakness zake uki compare na strengths za Grealish na weakness zake

Utaona kwamba Pogba anaikaba United

Japo hata kisoka kirusi ni overhyped

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana aisee ukitoa De bruyne hakuna medfield yoyote uingereza kushinda Pogba.

Mchezaji anaekupa Double digits ya magoli na Assist ni nadra sana kuwapata.
 
Seems muna under estimate sana man U, kwamba mchezaji hawezi chagua Man u over hao Madrid na Barca? Wachezaji wa America kusini sawa ila wa ulaya wapo Wengi tu wanaoipenda Man U.

Na 2016 wote Barca na Madrid walimtaka pogba ila alichagua man U.

Mashabiki wa Man U wakikubali siku zote unakuwa legend popote pale duniani, Forlan mwenyewe anashangaa hadi leo wimbo wake unaimbwa na popote anapokwenda Duniani watu wanamkumbuka kama Mchezaji wa Man U japo hajapatia mafanikio yake pale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…