Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sawa mkuu nimekuelewa, leo vijana wajitaidi watupe furaha dhidi ya everton

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vita nafasi ya 4

Wapinzani wanaofuata kwa Man Utd na Chelsea

Man Utd VS Everton, Watford, Newcastle & Burnley

Chelsea Vs Tottenham, Southampton, Arsenal & Brightom

Kaugonjwa ka mechi ndogo kasiturudie

Sent using Jamii Forums mobile app
Tunapocheza na timu ndogo kipind cha kwnza uwa tunapotea sana, uwa tunaamka 2nd half, OGS alifanyie kazi hili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Liverpool wanaanza kumnyatia Takumi Minamino January, wakati huo United haina playmaker wa kueleweka na imetulia tu.
Hakuna maana kusajili mtu wakuja kujaribu kama ataweza, unasajili mtu wa uhakika kiufupi mtu amesha onyesha kudumu kwenye kiwango kwa misimu kadhaa. Vijana wakujaribu wapo wengi kwenye academy yetu tunaweza wapandisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa mkuu nimekuelewa, leo vijana wajitaidi watupe furaha dhidi ya everton

Sent using Jamii Forums mobile app
swadkata brother
ushindi dhidi ya everton ndio jambo muhimu zaidi kwa nyakati hizi (ole anazihitaji zaidi hizi mechi nne zijazo kwa lengo la kututhibitishia uwezo wake dhidi ya timu ndogo, vile vile ushindi dhidi ya everton utatupelekea kupunguza utofauti wa alama kutoka nane zilizokuwepo takribani wiki mbili zilizopita hadi alama 2 dhidi ya chelsea).

si vibaya kuyajadili mambo yaliopita kama tutakuwa na lengo la kujisahihisha na si kumtafuta mchawi aliyepelekea anguko letu, kama tutaamua kumtafuta mchawi basi hakuna atakayebaki salama kuanzia fergie mwenyewe aliyetuletea david moyes a.k.a the choosen one hadi ole mwenyewe aliyetuondolea romelu lukaku

adui yetu mkubwa ambaye ni chelsea kwa sasa hali yake imeshakuwa dhoofu, tunahitaji kumsukuma kutoka kwenye kilele cha mlima
================================
When Manchester United take on Everton on 15 December, it will be the 4000th senior match in succession in which at least one youth graduate is represented in the Reds’ first-team or matchday squad.
 
Nadhani kuna wakati Magazeti yanatafuta habari za kuuza, Haya Magazeti ya Mirror, Dail Mail, The Sun n.k. hayaaminiki kiivyo mkuu

Usajili wa Sancho January ni impossible, hakuna timu makini (Dortmund ni makini) ambayo itakuwa tayari kuuza mchezaji wake muhimu katikati ya msimu ambapo wana kampeni ya UCL, wana kampeni muhimu kwenye ligi yao

Na usajili wa Sancho July unategemea sana kama tutamaliza top 4 au lah, jambo ambalo mpaka sasa ni kitendawili kwetu

kuna taarifa fulani nimeiona jana inadai ya kwamba matt judge amekutana na wawakilishi wa jadon sancho... kuna ukweli wowote kuhusiana na taarifa hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
It is a matchday...uuuuuuuuhuuu

C'mon United!!!

Aisee naomba sana Daniel James(DJ) afunge goli..it's been a while..nitakuwa more than happy

Ole inabidi aingie kwa kasi ya ajabu..Toffies inabidi walale mapema sana,ili tuwe 2 clear points from Top Four

Tukikosa point tatu leo,tunarudi tena hatua kumi nyuma

GGMU
 
Mzee mimi shauku yangu ni Martial aondoke na mpira
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee mimi shauku yangu ni Martial aondoke na mpira

Sent using Jamii Forums mobile app
Unamkubali sana nini??...au unaona tu kwamba anadeserve??

Maana mimi nimesema hivyo kwa Daniel James maana dogo anapambana sana,anatoa pasi za mwisho nyingi nzuri lakini wanashindwa kumalizia..natamani sana afunge,

Na leo nahisi atatupia..let's wait
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…