lile buti nmelipenda.Kusema ukweli ari ya upambanaji ipo juu mno kwa United kwa sasa....
Kutopoteza dhidi ya timu 6 za juu EPL sio kazi ya kitoto na kwa hili nampa heko sana Ole Sendeka maana anafanya kitu ambacho Unai ameshindwa fanya pale Arsenal...kuamsha marali ya upambanaji kwa wachezaji.
Ukiangalia kwa makini utaona timu nzima,wanapambana kwa kila hali kwa kazi chafu na safi....
Napenda DJ na Scott wanavyojiamini utasema ni 25's players kumbe bado sana.
Nilicheka sana lile buti alilopigwa Stearing na Perreira ndio maana halisi ya HAINA KUFELI....
Bigup
Nmesema ngoja nitulie... Sijaongea chochoteKwahiyo mkuu, ulitegemea to dominate possession vs Man city ???
Hiyo weed watumia imelimwa wapi ??
Hakuna mwendawazimu wa kwenda shindana na wale possession, hayupo...labda baba swaleheNmesema ngoja nitulie... Sijaongea chochote
...... Kama hizo weed unazo nitumie hapa Massachusetts
Kwahiyo unasemaje Sasa.Kipigo cha penalty ya kujiangusha, hata ushindi dhidi ya man city unashida, sielewi VAR inakataa vipi penalty za wazi,
Lile buti ukimpiga mtu kama Juma Nyosso ujue kwenye kona lazima akupime tope tuKusema ukweli ari ya upambanaji ipo juu mno kwa United kwa sasa....
Kutopoteza dhidi ya timu 6 za juu EPL sio kazi ya kitoto na kwa hili nampa heko sana Ole Sendeka maana anafanya kitu ambacho Unai ameshindwa fanya pale Arsenal...kuamsha marali ya upambanaji kwa wachezaji.
Ukiangalia kwa makini utaona timu nzima,wanapambana kwa kila hali kwa kazi chafu na safi....
Napenda DJ na Scott wanavyojiamini utasema ni 25's players kumbe bado sana.
Nilicheka sana lile buti alilopigwa Stearing na Perreira ndio maana halisi ya HAINA KUFELI....
Bigup
√Embu tuwe serious jamani,Fred ameimprove sana..na Workrate yake siyo mchezo..ukimweka na McSouce (The Mad Dog) basi ni burudani kabisa..kuna pasi kampa Rashford,ebhana eheee!! ilikuwa tamu sana
√AWB is a rock..najua wengi tupo concerned na mchango wake wakati wa kushambulia,lakini tukumbuke primary work ya defender ni kukaba na AWB anafanya hii kazi kwa level za juu sana..my MOTM IMO
√James,a kid from championship playing like a 27 mature guy..na niulize huyu dogo hachoki??..2nd half amerudi kumsaidia AWB na Sterling akamalizwa ujanja wake
√Rashford analeta matumaini
√ Kumuona Fergie akitabasamu ni kitu poa sana
√ Wale mashabiki uchwara wa city waliomrushia vitu Fred na kuonyesha ishara za kibaguzi inabidi wamenywe ipasavyo..washenzi kabisa..na tumewatia,shenzi zao
Next ni Everton,..wana interim coach wao kama chizi vile wakifunga..hopefully tutawabamiza pale OT
GGMU
Kwahiyo mkuu, ulitegemea to dominate possession vs Man city ???
Hiyo weed watumia imelimwa wapi ??
Hayo mambo huwezi kuyaepukaGame na Bonemouth, Aston villa na Shelfield tulizichezea tungekuwa tumeshamtoa chelsea hapo juu
Ha ha haFred wa shakhtar Donetsk aliyekuwa akicheza sambamba na fernandinho alitua kwa mara ya kwanza carrington siku ya jumatano dhidi ya spurs na leo pia yupo dhidi ya city.
Naomba pogba aendelee kupona vizuri hadi may,asiharakishwe kurudi ataumia zaidi.
Pogba ni muhimu sana kwa killer passes. Inabidi acheze juu ya Fred na ScotKwa sasa Fred akizingua itakuwa sio suala la kuhoji uwezo wake, bali suala la kuwa na bad game
Rashy kama kawaida yake anafunga magoli magumu lakini mepesi anakosa. Over all hizi wiki 4 amekuwa kwenye kiwango kikubwa sana
James ukiacha mchango wake kwenye kushambulia, ana umuhimu sana kwenye kukaba (kama huamini muulize Angelino). Jana ame recover mipira mara 8. Kiukweli tumewaibia Swansea City, huyu dogo sio wa £15m
Scoty being Scoty, Martial being Martial na De Gea being Degea ilituimarisha zaidi
Lindelof jana alijituma sana, Harry aliongoza timu vizuri na alifanya clearence za kutosha kwenye mipira ya juu
AWB anasumaku miguuni, mpira haupiti kizembe anapo block, na forward akishangaa shangaa jamaa ameudokoa na mpira wa 50/50 forward aruke tu maana kwanja litakalopita halitamwacha salama
Naona safari ya Matic January, naona headache kwa OGS, kirusi atakapokuwa fit kumu accomodate
Liverpool mwenyewe alijikaza kwelikweli!!Manchester United zidi ya team tano zilizo juu
Liverpool 1-1
Leicester City 2-1
Manchester City 2-1
Chelsea 4-0
Tottenham spurs 2-1
Wachawi waliroga sanaHiki kikombe siamini kama kimetupita kwa kutwepa namna hii
Kuwa wewe VARKipigo cha penalty ya kujiangusha, hata ushindi dhidi ya man city unashida, sielewi VAR inakataa vipi penalty za wazi,
Wewe usiyepata kipigo tangu ligi ianze 2018/2019 huko nafasi ya 5 unafanya nini?Kumbuka huo Ni ushindi wake wa kwanza baada ya kipigo Cha kukata na shoka pale O.T
Kumbuka huo Ni ushindi wake wa kwanza baada ya kipigo Cha kukata na shoka pale O.T
Wewe usiyepata kipigo tangu ligi ianze 2018/2019 huko nafasi ya 5 unafanya nini?
Wewe usiyepata kipigo tangu ligi ianze 2019/2020 huko nafasi ya 5 unafanya nini?