LONG LIVE MAN UTD... chelsea walikua hawajafungwa nyumbani tukakutana nao tukawachapa....man city walikua na unbeaten record ya 2yrs tumekutana nao kichapo tuuuu...hatutaki mchezo
RVP sasa anajua yuko kwenye the right team...arsenal were unbeaten in 2005 tukawachapa....sasa hivi anajua kua alichagua timu ya maana..angeenda man city angechemsha....this is man utd and WE R THE BEST
mi bado na imani tutashinda gemu ya marudiano hapo old trashford maana takwimu zinaonesha tumefungwa hii inayokuja lazima man akae utake usitake we are champion..
RVP sasa anajua yuko kwenye the right team...arsenal were unbeaten in 2005 tukawachapa....sasa hivi anajua kua alichagua timu ya maana..angeenda man city angechemsha....this is man utd and WE R THE BEST
mi bado na imani tutashinda gemu ya marudiano hapo old trashford maana takwimu zinaonesha tumefungwa hii inayokuja lazima man akae utake usitake we are champion..
Wapinzani wa jadi toka lini? Kwani kuna mashindano au record yoyote tunayogombania na nyinyi? Kwa kumbukumbu zangu tumewafunga mechi nyingi sana kiasi kwamba hamfai kujiita wapinzania wa utd nyi its just a noisy neighbors tu
The Big match in the UK huwa ni kati ya ManU Vs Liverpool......na ndio hao wapinzani wa jadi........huwezi sema Simba watani wa jadi ni Nyota Nyekundu........