jose mourinho alimuona andreas perreira hana kiwango cha kucheza kila siku ndio maana alimtoa kwa mkopo, hata msimu uliopita alimbakisha kwa sababu hakuwa na solution kwa sababu klabu ilishindwa kuingia sokoni.
scott mctominay hakuwa chaguo la kwanza mbele ya nemanja matic.
hao wote chini ya OGS wamekuwa chaguo la kwanza usiku na mchana, wacheze vizuri au waharibu.