Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ole alifanya kosa kubwa sana kukubali kibarua cha kuinoa Man United kwa haya Matusi anayochezea.
Ile Legacy aliyojijengea Mwaka 1999 kwenye Fainali against Bayern pale Camp Nou naona inasambaratika taratibu.
 
Jose Mourinho alishika nafasi ya pili na alizifunga timu zote za top 4 (Man City,Chelsea,Liverpool,Spurs,Arsenal,Leicester) na wachezaji hao
 
Ndo ujinga unapoanzia..mtu anatroti tu kibrazameni uwanjani na huoni hata kocha akimkaripia..na hali inaendelea kila mechi..huu ni zaidi ya ujinga.
 
Dunk mwenye miaka 28 ambaye si mtu utasema kuna room ya kuwa developed, VVD alienda Liverpool akiwa na 24/25 years.

Mwingereza ambaye hata hayupo kwenye chaguo la 8 kati ya mabeki wa timu ya Taifa

Nope kwa upande wangu

Niliwahi kusema, kuna baadhi ya wachezaji tunawatamani kwa kuwa sio wachezaji wetu
 
James mbuz tu aisee
 
Kulikuwa kuna Pereira,Greenwood,James,Mc tominay, Bissaka, Maguire?
jose mourinho alimuona andreas perreira hana kiwango cha kucheza kila siku ndio maana alimtoa kwa mkopo, hata msimu uliopita alimbakisha kwa sababu hakuwa na solution kwa sababu klabu ilishindwa kuingia sokoni.

scott mctominay hakuwa chaguo la kwanza mbele ya nemanja matic.

hao wote chini ya OGS wamekuwa chaguo la kwanza usiku na mchana, wacheze vizuri au waharibu.
 
Mkuu nakubaliana na wewe sehemu nyingine, ila unataka uniambie kwa sasa Matic yupo mbele ya Tominay?

Nakumbuka kuna kipindi Jose alimwamini Tominay kuliko Pogba
 
Mkuu nakubaliana na wewe sehemu nyingine, ila unataka uniambie kwa sasa Matic yupo mbele ya Tominay?

Nakumbuka kuna kipindi Jose alimwamini Tominay kuliko Pogba
umeisoma hiyo comment ya jamaa alipomnukuu belo?
pereira,Greenwood,James,Mc tominay, Bissaka, Maguire
wanne kati ya hao hawakuwa na uwezo wa kuingia kikosi cha kwanza msimu ule tulioshika nafasi ya pili.

valencia alikuwa vizuri msimu ule
matic alikuwa vizuri
pogba alikuwa vizuri
hata lingard pia alikuwa vizuri
ushindani ulikuwa mkubwa sana kati ya rashford na martial kabla ya ujio wa sanchez
 
Ila ilivyowapa go ahead kwenye faulo ya Origi mkaenda kupata goli dhidi ya Liverpool, haikuwa upande wenu?
sasa mmebakiza kuisingizia VAR kwamba ndo sbb ya hali yenu
 
Shida jamaa yako anatafuta a scapegoat. Yani hataki kukiri kwamba timu ina shida bali vigezo bya nje ndo shida.
 
Mkuu nakubaliana na wewe sehemu nyingine, ila unataka uniambie kwa sasa Matic yupo mbele ya Tominay?

Nakumbuka kuna kipindi Jose alimwamini Tominay kuliko Pogba
Kocha yeyte mwenye akli timamu, narudia tena mwenye akli timamu hawez mwacha Tominay na kuchezesha mlingoti Pogba, Tominay anaskiliza sana maelekezo ya mwalimu na ni mpambanaji... Pogba anategemea Sana defesinve medifilider wapoje ili wamlishe afanye madoido
 
Umeongea point aiseh, kuna vitu vingine ni uzembe tu ule mpira wa Jones hata mtoto wa chekechea angeweza kuufanyia maamuzi, sometimes hata kama kocha nae ana weakness zake ila kumlaumu inakua makosa kwa scenario kama ya Jones aiseh , ushindi wa jana tumejikosesha wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…