Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Halafu Tobby na Jan wapo kwenye 30's na mikataba yao inaisha msimu huu

Kuna sehemu nimesoma, wanamkejeli Jose

Eti, Akiwa United aligombana na Ed ili amlete Tobby United, lakini eti alivyoenda Spurs atemcehezesha Ndombele kama beki wa kati na kumwacha Tobby benchi
Hao wote uliowataja wapo katika mazungumzo na klabu juu ya kubotesha kandarasi zao,

Mwana kulitafuta ...Mwana kulipata ....
Jose kapata timu aliyokuwa anaitaka haswaaaaaa....
 
tupo pamoja mwanadamu ambaye miguu yake ilitengenezwa kwa vioo.
natumai wan ataufanyia kazi ushauri wako.
muda wa kujirekebisha bado anao kwa sababu ndio kwanza ana miaka 22.

Former United man Owen Hargreaves is an admirer of Wan-Bissaka’s superb tackling ability, yet the ex-England international is also keen for the youngster to develop his attacking contribution in terms of goals and assists.
1574400545063.png
 
Kama Dalot akiwa fit kuna uwezekano Wan Bissaka akachoma Mahindi bench.

Uwezo wake wa kupandisha timu ni mdogo mno sema kwenye ulinzi yuko vizuri sana
tupo pamoja mwanadamu ambaye miguu yake ilitengenezwa kwa vioo.
natumai wan ataufanyia kazi ushauri wako.
muda wa kujirekebisha bado anao kwa sababu ndio kwanza ana miaka 22.

Former United man Owen Hargreaves is an admirer of Wan-Bissaka’s superb tackling ability, yet the ex-England international is also keen for the youngster to develop his attacking contribution in terms of goals and assists.
View attachment 1268763
 
Kama Dalot akiwa fit kuna uwezekano Wan Bissaka akachoma Mahindi bench.

Uwezo wake wa kupandisha timu ni mdogo mno sema kwenye ulinzi yuko vizuri sana
Na Dalot uwezo wake wa kukaba ni mdogo pia ingawa anaweza kwenda mbele. Nadhani ole anaweza kumjenga Wan akawa fresh tu kwenye kufanya attacking maana kudefend sina shida nae kabisa.
 
Uzuri wake Zonal marking yuko vizuri ndiyo maana pamoja na kwamba anashambulia sana bado anaweza kufanya zonal marking vizuri kuliko Bissaka ambaye yuko vizuri kwenye one against one situation tu.

Ndiyo maana Mourinho alimprefer Dalot kwa sababu Mou anaprefer Zonal marking kuliko one against one, kwangu mimi naamini Dalot akiwa fit Bissaka atachoma mahindi.
Na Dalot uwezo wake wa kukaba ni mdogo pia ingawa anaweza kwenda mbele. Nadhani ole anaweza kumjenga Wan akawa fresh tu kwenye kufanya attacking maana kudefend sina shida nae kabisa.
 
Dalot nilimwona anaweza kuwa winga kama akijengwa tatizo ni mzito sana
Uzuri wake Zonal marking yuko vizuri ndiyo maana pamoja na kwamba anashambulia sana bado anaweza kufanya zonal marking vizuri kuliko Bissaka ambaye yuko vizuri kwenye one against one situation tu.

Ndiyo maana Mourinho alimprefer Dalot kwa sababu Mou anaprefer Zonal marking kuliko one against one, kwangu mimi naamini Dalot akiwa fit Bissaka atachoma mahindi.
 
Dalot nilimwona anaweza kuwa winga kama akijengwa tatizo ni mzito sana
Mara nyingi wachezaji wasio na nguvu huwa na akili nyingi sana uwanjani pace anayo lakini siyo kama DJ.

Kwa skills alizonazo anaweza kubadilishwa kutoka defender hata kuwa winger au hata midfielder inawezekana kabisa ana talent kubwa sana
 
Wachezaji wanalipwa kwa kuzingatia umri, seniority , kumbe ni kama kwenye hizi taasisi zetu na Serikalini kwa Watumishi

Mbona kuna wakati Tammy alikaa mechi zaidi ya 6 bila goli, hilo unalizungumziaje

Malipo kwa mchezaji ya naangalia factors nyingi na si idadi ya magoli na umri pekee, ndio maana kuna mabeki na makipa wanalipwa mshahara mkubwa kuliko ma striker, mbabe mtoto mdogo analipwa mshahara mkubwa kuliko akina Giroud n.k.

Ramos ni beki unajua analipwa kiasi gani?

KiUmri wa Giroud wako rika moja na Tammy?

Rashford mshahara pauni laki mbili ila mechi nne goli moja nenda Real na Barca clubs ambazo at times huwa wanawazidi mapato tuangalie striker anaechukua hiyo £200k anafunga magoli mangapi kwa msimu
 
Back
Top Bottom