Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Halafu Tobby na Jan wapo kwenye 30's na mikataba yao inaisha msimu huu

Kuna sehemu nimesoma, wanamkejeli Jose

Eti, Akiwa United aligombana na Ed ili amlete Tobby United, lakini eti alivyoenda Spurs atemcehezesha Ndombele kama beki wa kati na kumwacha Tobby benchi
Naona sehemu pekee ya Mourinho kufanya usajili kwenye defenders kwa sababu ndiyo eneo pekee Tottenham inawachezaji wachache
Ukiondoa Davison Sanchez, Toby na Jan Vertongen nani mwingine ambaye ni central defender kwa Totenham ?
 
zile mbio zake anapaswa awe anaingia ndani ya box mara kwa mara.
tupate mapenalty teleeeeeee ili Ollachuga Oc azidi kugeuza masharti ya rashford
Nafikiri DJ akicheza kushoto anakuwa lethal zaidi kuliko kucheza kulia, lakini kutokana kuwa na wachezaji wengi ambao ni left wing imelazimika acheze kulia.

Akicheza kushoto kwa sababu yeye ni Right feeter anakuwa na option nyingi zaidi za kucheza mpira na kufunga far post au near post au apige cross.

Tunamwelekeo mzuri kama hatutapata majeruhi wengine hasa key players.

Taarifa nzuri ni kwamba wachezaji sita waliokuwa na injury wote mamerejea uwanjani jana.
 
Hiyo ndiyo shida ataenda kukutana nayo half of the squad ni midfielders atalazimika kwenda sokoni January kutafuta defender. Au atawaconvert baadhi ya midfielders wake kuwa defenders.
Hasa Erick Dier na Wanyama.
Halafu Tobby na Jan wapo kwenye 30's na mikataba yao inaisha msimu huu

Kuna sehemu nimesoma, wanamkejeli Jose

Eti, Akiwa United aligombana na Ed ili amlete Tobby United, lakini eti alivyoenda Spurs atemcehezesha Ndombele kama beki wa kati na kumwacha Tobby benchi
 
Nafikiri DJ akicheza kushoto anakuwa lethal zaidi kuliko kucheza kulia, lakini kutokana kuwa na wachezaji wengi ambao ni left wing imelazimika acheze kulia.

Akicheza kushoto kwa sababu yeye ni Right feeter anakuwa na option nyingi zaidi za kucheza mpira na kufunga far post au near post au apige cross.
hata mimi nimeliona hilo pindi anapocheza upande wa kushoto anakuwa hatari zaidi, lakini tatizo linakuja kwa wale wanadamu wawili tulioweka mategemeo yote kwenye mabega yao msimu huu.
  • rashford akicheza centre forward anakuwa ovyo sana ila akitokea pembeni hususani upande wa kushoto anakuwa hodari.
  • anthony martial akicheza winga wa kulia anakuwa ovyo sana.
kuna msemo fulani waswahili tunasema chagua moja, kusuka au kunyoa na ndicho kinachomkuta OGS.
 
Marcus Rashford 11 games with 3 goals from open play



Tammy Abraham 12 games with 10 goals from Open Play Na mechi ya 12 bado haijaisha

Also not forgetting that Tammy is younger than Rashford

Aisee! Rashford mshahara wa hivyo maelezo yake vipi?
Rashford kamzidi uwezo Tammy Abraham??!!

 
Anzia kuhoji ndani ya Chelsea, akina Giroud, Batshuayi wanapewa mpunga mrefu zaidi, wana magoli mangapi ukiwalinganisha na Tamy

Vipi kuhusu Kane wa Spurs, Jesus wa City.....

Haya sasa, turudi kwa Rashy
KiUmri wa Giroud wako rika moja na Tammy?

Rashford mshahara pauni laki mbili ila mechi nne goli moja nenda Real na Barca clubs ambazo at times huwa wanawazidi mapato tuangalie striker anaechukua hiyo £200k anafunga magoli mangapi kwa msimu
 
Pogba mpaka early December waliorudi ni
Timothy Fosu Mensah, Luke Shaw, Diogo Dalot, Axel Tuanzebe , Matic etc.
ujio wa pogba umuondoe andreas perreira na si fred.
au perreira arudi namba 8 kama hamuhitaji fred, kuendelea kumtumia namba 8 paul pogba itakuwa ni kuendeleza ugonjwa ule ule tuliokwisha usahau
 
kuhusu mlinzi wa kati anaweza kumtumia hata eric dier kama timu itakumbana na tatizo la majeruhi kwa wachezaji wa kikosi cha kwanza. Nyakati zile alipokuwa real madrid au chelsea mara nyingi aliweza kucheza msimu mzima huku akitegemea walinzi watatu tu wa kati wenye uzoefu (ramos, pepe, carvalho, terry, del horno, varane akiwa bado kinda). Uzuri zaidi walinzi wote hao uliowataja hawana takwimu mbovu za kiafya kama ilivyo kwetu (marcos rojo, phil jones, eric bailly)

Ishu muhimu zaidi inayomsubiri mourinho kuitekeleza ni kupigania mikataba ya wachezaji wake muhimu kama nilivyoeleza comment iliopita kwa sababu jan vertoghen, toby arderweireld eriksen,na rose mikataba yao huenda inamalizika msimu huu (sina uhakika).

kwa bajeti ya usajili tulioizoea pale tottenham hotspurs halitokuwa jambo jepesi kiupande wake kupewa paundi millioni 100 au zaidi kwa lengo la kuziba mapengo ya wachezaji hao kama wataondoka wakiwa huru, kibaya zaidi jose mourinho si muumini mkubwa sana wa kupandisha young players kutoka academy na kuwapa nafasi ya kucheza kama alivyokuwa akifanya mauricio pochettino.
Jipeni moyo,
Mou wa sasa sio yule mliomzoea katika ufundishaji wa timu......suala la young players subiri tu utaona anavyowapandisha.....
 
Back
Top Bottom