msomi uchwara
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 4,696
- 8,821
Spurs wanaweza kutwaa makombe kabla ya timu yetu kufanya hivyo..
kwa nini watumie fedha nyingi kufanya usajili haliyakuwa timu yao imejaza wachezaji wanaojiweza?Wakiamua kuspend bigger kwenye usajili, hawatajuta.
Just said the likeJose Jose Jose View attachment 1267540
Mou ana phobia, he want himself to the soccer world through EPL, hasa baada ya kufukuzwa Chelsea 2nd....
This is why is accepted the utd job on the first place(japo kuwa is he known to be a great fan of Chelsea, he queted claiming that couple of times)
Baada ya kufukuzwa utd last year, he has rejected countless job offers includes, kwenye vilabu vya galatasalay (turkey), France, Germany,Italy... Pia hata kuta nchi ilitaka kumpa awe kocha wao timu ya taifa akatosa..
I always had a feeling jamaa ataibukia Tena TU EPL with strong possibility to Chelsea (kipindi season inaanza wakanyukwa 4 na utd) arsenal alikuwa ana tajwa Sana(uchezaji wao na ubahili) naona ameprefer Spurs... HE WANT TO BE IN THE CHALLENGES WITH THE HIS RIVALS PEP and KLOPP, + whoever is coming to spur, (aseno &utd next)
Hapo anataka kukudhalilisha sijakupata mkuu.how?
- wakuu daniel james anataka kunidhalilisha.
- marcus rashford amekuwa hatari sana pindi anapotokea pembeni.
- marcos rojo anastahili mkataba kama ataendelea kuwa na afya njema.
Hapo anataka kukudhalilisha sijakupata mkuu.how?
Inabidi tumnyooshe maana ataleta tambo mapema sana..Tutamchapa labda apaki basi
Asante mkuu.Alim under rate
Mkuu mjiandae kisaikolojia....tumerudi kupambania makombe....chini ya Mou lazma tuwashikishe adabuJose Jose Jose View attachment 1267540
Mou uyo ni mteja wetu.Not Man United v/s Spurs
Bali ni Chelsea v/s Spurs gonna be greatest London Derby
Bangi ni dawa mkuu.Dogo hizi bangi unazovuta mwachie Jorginho tu wewe zitakupa uchizi
Kwani tukiandika bila klopp kusingekuwa na mane inakuwaje apo?Bila ya Kusahau kuwa ni Mourinho ndiye aliyemfanya Lampard ajuilikane katika ulimwengu wa soccer.
Before Mourinho there is no such thing called Lampard known kwenye Dunia, Only Zola ndani ya Chelsea existed at that time
- wakuu daniel james anataka kunidhalilisha.
- marcus rashford amekuwa hatari sana pindi anapotokea pembeni.
- marcos rojo anastahili mkataba kama ataendelea kuwa na afya njema.
kwa nini watumie fedha nyingi kufanya usajili haliyakuwa timu yao imejaza wachezaji wanaojiweza?
wanaopaswa kusajili zaidi ni manchester united na si tottenham hotspurs kama utafanya mlinganisho wa mchezaji mmoja mmoja.
kazi kubwa inayomsubiri jose mourinho ni kurudisha umoja na mshikamano ndani ya timu pamoja na kuzisimamia haki za wachezaji hususani kwenye ishu ya mikataba mipya inayoambatana na maslahi yalioboreshwa zaidi tofauti na sasa.
kufanya hivyo ndio kutapelekea wachezaji muhimu kama vile eriksen, harry kane, son, alderweireld, vertorghen waendelee kuichezea tottenham kwa miaka miwili au zaidi.
Top 4 inakwenda kuwa ngumu zaidi endapo jose mourinho atarudisha mentality ya ushindi iliopotea kwa zaidi ya miezi 8.
hizo timu nilizoziwekea wino mwekundu zinapaswa zijitathmini kabla ya jua kuzama.
- Liverpool
- man city
- Chelsea
- Leicester city
- man utd
- arsenal
- Tottenham
Kwani tukiandika bila klopp kusingekuwa na mane inakuwaje apo?
- wakuu daniel james anataka kunidhalilisha.
- marcus rashford amekuwa hatari sana pindi anapotokea pembeni.
- marcos rojo anastahili mkataba kama ataendelea kuwa na afya njema.
kuhusu mlinzi wa kati anaweza kumtumia hata eric dier kama timu itakumbana na tatizo la majeruhi kwa wachezaji wa kikosi cha kwanza. Nyakati zile alipokuwa real madrid au chelsea mara nyingi aliweza kucheza msimu mzima huku akitegemea walinzi watatu tu wa kati wenye uzoefu (ramos, pepe, carvalho, terry, del horno, varane akiwa bado kinda). Uzuri zaidi walinzi wote hao uliowataja hawana takwimu mbovu za kiafya kama ilivyo kwetu (marcos rojo, phil jones, eric bailly)Naona sehemu pekee ya Mourinho kufanya usajili kwenye defenders kwa sababu ndiyo eneo pekee Tottenham inawachezaji wachache
Ukiondoa Davison Sanchez, Toby na Jan Vertongen nani mwingine ambaye ni central defender kwa Totenham ?
habari nzuri sana, kama itakuja offer japo ya paundi millioni 7 basi klabu isisite kumuuza phil jones.Mkuu, Rojo bado ana mkataba wa miaka 2, kwa hiyo ni wetu sana. Kiukweli msimu huu amecheza vizuri