Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuna taarifa kuwa baba yake hana alitembelea Carrington.
Transfer News

Haaland ai-follow Twitter account ya Manchester Utd na Twitter account ya Rashford

Wachambuzi wa mambo wanaamini hii ni hint ya yeye kuhamia United

Kwamba itakuwa ni January au summer, bado hilo ni swali ambalo halijapata majibu
 
.
263708966_455893.jpeg
 
Rashford goli 6 assist 1 kwenye mechi 6 zilizopita. So far michuano yote goli 11 na Assist 4.

Ollachuga Oc
Apa itabidi tuanze kuondoa zile goli za penati ..ok apo tutakuwa sawa!

Tukitembea na EPL tu ana goal 5/6 uko penati kama tatu ivi zinahusika.

Anaweza akafikisha izo goli 15 kweny Kwa kupitia michuano mingine mf Europa, carabao..lakin EPL akabaki apo apo goli 6.

Ivyo magoli ya EPL ndo muhimu zaidi ..

Ila msimamo uko pale pale ..hafikishi goli 15 mkuu..

Akifikisha mimi najipiga ban kunye hili jukwaa hadi msimu mpya wa 20/21..

Dah ila naona kama anaeza fikisha aise Chief-Mkwawa kwa nini tusilegeze kidogo aise

Labuda tufanye EPL tu

Kila la kheri Chelsea
 


Mkuu umeanza kubadili vigezo
Apa itabidi tuanze kuondoa zile goli za penati ..ok apo tutakuwa sawa!

Tukitembea na EPL tu ana goal 5/6 uko penati kama tatu ivi zinahusika.

Anaweza akafikisha izo goli 15 kweny Kwa kupitia michuano mingine mf Europa, carabao..lakin EPL akabaki apo apo goli 6.

Ivyo magoli ya EPL ndo muhimu zaidi ..

Ila msimamo uko pale pale ..hafikishi goli 15 mkuu..

Akifikisha mimi najipiga ban kunye hili jukwaa hadi msimu mpya wa 20/21..

Dah ila naona kama anaeza fikisha aise Chief-Mkwawa kwa nini tusilegeze kidogo aise

Labuda tufanye EPL tu

Kila la kheri Chelsea
 
Dogo hizi bangi unazovuta mwachie Jorginho tu wewe zitakupa uchizi
Apa itabidi tuanze kuondoa zile goli za penati ..ok apo tutakuwa sawa!

Tukitembea na EPL tu ana goal 5/6 uko penati kama tatu ivi zinahusika.

Anaweza akafikisha izo goli 15 kweny Kwa kupitia michuano mingine mf Europa, carabao..lakin EPL akabaki apo apo goli 6.

Ivyo magoli ya EPL ndo muhimu zaidi ..

Ila msimamo uko pale pale ..hafikishi goli 15 mkuu..

Akifikisha mimi najipiga ban kunye hili jukwaa hadi msimu mpya wa 20/21..

Dah ila naona kama anaeza fikisha aise Chief-Mkwawa kwa nini tusilegeze kidogo aise

Labuda tufanye EPL tu

Kila la kheri Chelsea
 
Wakuu EPL inaenda kuwa fire sana tena sana...... Tuliofatilia kauli kazaa za Mou alisema mpaka apate timu yenye project bora....... So Mou atakuwa huru kuleta wale weusi wale pale spurs itakuwa shida sana.......

All in all Pochettino ni mzuri sana, sema tu baadhi ya mambo yalimfelisha usajili ikiwa sababu kuu.....
 
Wakuu EPL inaenda kuwa fire sana tena sana...... Tuliofatilia kauli kazaa za Mou alisema mpaka apate timu yenye project bora....... So Mou atakuwa huru kuleta wale weusi wale pale spurs itakuwa shida sana.......

All in all Pochettino ni mzuri sana, sema tu baadhi ya mambo yalimfelisha usajili ikiwa sababu kuu.....
I could like this comment 7times, kama ingekua inawezekana
 
Back
Top Bottom