Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Still kuna dk 45, bado hampo salama. Tukirudi tunafungulia full cylinders. Si mmemwona Kloop katoka akikimbia!

Nitarudi hapa baada ya game kwisha....
 
Scott amecheza vzr sana 1half.. anacover eneo kubwa la uwanja na kufanya Fred apumue.
Big up kwake
 
Fred ni tatizo ni shida kubwaaaaaa...hakuna sub pumbaf sana.
 
Kadri dakika zinavyoenda, Liverpool wanazidi kuchanganyikiwa, full frustration.
 
li timu lenu nimewaachia litimu gani hili ushindi wake droo usng tu na upuuzi hakuna timu hapa.
 
IMG_20191020_203030.jpg

Kuna shida sehemu
 
Back
Top Bottom