Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Na holding midfielder anakuwa nani ?
4-2-3-1 inahitaji natural number 10 Na kiungo mzuri master wa Pasi unakuwa umemaliza

Mfano hapo Man Utd namba nane ya 4-2-3-1 unamuweka McTominay then namba 10 unamuweka Pogba kazi imeisha
 
Come on Man United tuko pamoja na nyie ...nyonyoa ile jogoo maana inakuja mjini ...(uko Liverpool city ni kama kijijini tu) fanyeni kweli mazee hizi mbanga zife 3-1 ..najua uwezo tunaoooooo

Come on Man United
 
Chief-Mkwawa tuna uhakika Rashiford ataongeza idadi ya goli weekend hii ..lakini msimamo utabaki pale pale hatofikisha 15 msimu huu ..

Tunaomba apige Liverpool goli mbili na ndo yawe magoli yake kwa mwezi huu wa Oct


Come on Man united
 
Tumefikaje huko tena ....
Pole sana mkuu😂😂

Lakini na nyie ni kwanini mnalipenda sana chama letu? Unajua nyie ndio mnafanya tuamini kuna mashabiki wa MUFC na waliobaki wote ni wenye chuki na MUFC na sio mashabiki wa timu nyingine. Yani mpo huko mlipo kwasababu tu ya chuki zenu kwa chama kubwa MUFC.

Mnadai tumeisha ila kwenye uzi wetu mnakunywa chai,mnakula cha mchana na mnakula cha usiku na kulala.😂😂
 
Mkuu ukiangalia huyo jamaa Mimi simfahamu humu, nipo humu tunajadiliana bila matusi , mm natembelea nyuzi za majukwaa karibu yote , kuna kujifunza na kutaniana

Sasa huyo jamaa kuleta habari kuwa Alegri anasubiri kibarua man u ananitolea povu , na simjui , hivi hilo ni tatizo kusema Alegri anasubir kibarua man u ? Maana media zote kubwa zimesharipoti ,

Tunatembelea humu kuwatania sio kutukanana na kuvunjiana heshima ....

All in all nawaombea mpigwe Jumapili na Liverpool .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…