Franklin1902
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 2,241
- 4,876
Yan hali ni mbya sna maana wachezaj ni low quality kocha nae ndo amn kitu lzm team iwe ya wapuuz.. MOU Aliwaambia kumaliza nafas ya pili na hii team kwng nimafanikio makubwa sna.. Wakaona lbd utan saiv ss kila m2 anajua MOu alikua anaongea nn
Bora huyo Mou alikuwa na mbinu pale timu inaposhikwa au inapokutana na mpinzani hatari. Ole ndio zero kabisa na ukitazama Interview ya Degea utagundua wachezaji wameshamuona mzugaji asiyejua lolote kuhusu ukocha.
Wanaweza wakacheza vizuri maana hao wachezaji ni average na they belongs to Mid-table Teams..
Anapitia kipindi kigumu sana na yeye pia anakiri hilo. Anacheza na wachezaji wa kawaida mno ambao hawawezi kupata namba hata pale Leicester.
Pereira, Fred,Mata,Rashford, Young, Dalot,Scott,Lingard,Matic hivi hawa wanapata namba za uhakika hata pale Wolves kweli?
De Gea atabaki kuwa kipa wetu bora wa muda wote.
Neville & Longstaffs are Brexits.Garry neville
The Longstaff brothers made me happy yesterday ! We see hundreds of interviews every year where players/managers are concentrated ,focused and on guard. The purity , the joy and the love of football was amazing and it should be shown to every young player . #DreamsView attachment 1225756
Kiwango kimeshafika mwisho hapo.Waendelee kumponda ivi ivi labda atabadilika
Acha utani Ole hamna kituYani na baki na msimamo wangu ole n kocha na asifukuzwe abaki tu time will tell GO GO UNITED
hizo takataka ameendelea kuziweka yeye bila ya kuwa na sababu za msingi za kimfumo.Me naona alipo feli ni kwa viungo na forward tu na ed ndo anamuangusha nasubiri awachukue anao wataka na kuondoa takataka zake pale ndipo ntajua ka n kocha au branda nyingi
HahahahahahahahahTuliwaonya humu kuhusu kumfukuza mourinho wengine tuliundiwa had magenge ya kutusema wenzenu tuliona shida ni bodi sio kocha huwez miaka 7 ukakaa na young akiwa namba 2 au 3 huna 7 wala 11 halafu bodi ipo kimya tu
Kaja sosha mchomoa betr uza lukaku toa sanchez toa herrera
Ukiulizwa vipi anakwambia natafuta mchezaji wa damu ya united
Hivi hawa wakina KDB na bernado silva walikuwa wakiipenda city?
Aguero alikuwa anaipenda man city
Silva alikuwa anapenda man city
Mpira ni pesa mapenz yaliondoka na wakina scholes na giggs
Hata kule mess mkataba wake unaongea pamoja na kukulia palepale
Sosha si kocha huwez kuuza top striker kama hujapata mbadala
Yule klopp alichomoa taratibu sana masalia mabovu kule liverpool hakufika na kufukuza wakina milner na orig hata sturidge alivumiliwa kapata mbele patamu kamuachia
Huyu big sam huwa namkubali sana hajawahi kufeli lakin wasiwasi ni juu ya bodi na Wenye timu kama watampa sapoti au nae atatolewa nduki kama tulivofanya kwa Mou kocha pekee ambaye angetufikisha nchi ya ahadi after fergie erahizo takataka ameendelea kuziweka yeye bila ya kuwa na sababu za msingi za kimfumo.
lingard = huenda akapewa mkataba mpya kwa mujibu wa taarifa
phil jones = amempa mkataba mpya
ashley young =amempa mkataba mpya
chris smalling = amempa mkataba mpya
adreas perreira = amempa mkataba mpya
juan mata = amepewa mkataba wa miaka 3
marcos rojo = bado ameendelea kuwepo
marcus rashford = umri unamruhusu kupewa kwake mkataba mpya ila mshahara wake hauendani na uwezo wake, haiingii akilini umlipe rashford paundi laki mbili then ukatae kumlipa herrera paundi laki mbili.
hao anaowataka wengi wao hawana tofauti na hao waliopo.
sean longstaff
declan rice
wilson
baada ya kufungwa na everton magoli manne msimu uliopita alisema kuna wachezaji hawatovaa tena jezi ya man utd, cha kuchekesha amewaondoa wachezaji wawili muhimu na kuwabakisha vibasha wa wajukuu wa malikia.
kama lengo lake ni kutushusha daraja basi hatofanikiwa kwa sababu big sam yupo anasubiri kibarua.
View attachment 1225857
Hahahaha kama nilijua nini kitatokea..Sisi mpka sasa vs Soton tuna goli mbili(+2) na bado game haijaanza...
Ole wenu ninyi wenye Pogba Lingard na Marshal ...mpka sasa mumeshapigwa (-1) goli na game bado..
Kila la kheri Nu Casto
teh teh tehHuyu big sam huwa namkubali sana hajawahi kufeli lakin wasiwasi ni juu ya bodi na Wenye timu kama watampa sapoti au nae atatolewa nduki kama tulivofanya kwa Mou kocha pekee ambaye angetufikisha nchi ya ahadi after fergie era
Tatizo tulililo nalo sasa hivi ni kuwa timu i naingia uwanjani ikiwa na wachezaji watatu au wanne kati ya kumi na moja na hapo wachache tulionao hawana mwalimu
Kiukweli hali yetu ni mbaya Sana
Hahahaha nimekuelewa mkuu ndo maana nilisema kuwa Mou alikuwa mtu pekee wa kutupeleka nchi ya ahaditeh teh teh
mkuu nimemtaja big sam kwa sababu ndiye mwanadamu asiyeshindwa kuinusuru timu isishuke daraja.
hahahhahaaaaa
tupo vibaya
Hata hawa waliopo walitakiwa waonyeshe kitu au kuna muelekeo au improvement ya kiuchezaji sasa mpaka leo kila siku zinavyoenda tunazidi kuwa vibaya wakija hizo signing anazozitaka ndo watacheza vizuri??.Me naona alipo feli ni kwa viungo na forward tu na ed ndo anamuangusha nasubiri awachukue anao wataka na kuondoa takataka zake pale ndipo ntajua ka n kocha au branda nyingi
hizo takataka ameendelea kuziweka yeye bila ya kuwa na sababu za msingi za kimfumo.
baadhi yao amewapa kandarasi za miaka 3
lingard = huenda akapewa mkataba mpya kwa mujibu wa taarifa
phil jones = amempa mkataba mpya
ashley young =amempa mkataba mpya
chris smalling = amempa mkataba mpya
adreas perreira = amempa mkataba mpya
juan mata = amepewa mkataba wa miaka 3
marcos rojo = bado ameendelea kuwepo
marcus rashford = umri unamruhusu kupewa kwake mkataba mpya ila mshahara wake hauendani na uwezo wake, haiingii akilini umlipe rashford paundi laki mbili then ukatae kumlipa herrera paundi laki mbili.
hao anaowataka wengi wao hawana tofauti na hao waliopo.
sean longstaff
declan rice
wilson
baada ya kufungwa na everton magoli manne msimu uliopita alisema kuna wachezaji hawatovaa tena jezi ya man utd, cha kuchekesha amewaondoa wachezaji wawili muhimu na kuwabakisha vibasha wa wajukuu wa malikia.
kama lengo lake ni kutushusha daraja basi hatofanikiwa kwa sababu big sam yupo anasubiri kibarua.
View attachment 1225857
Ww jamaa ni mchawi sana.Sisi mpka sasa vs Soton tuna goli mbili(+2) na bado game haijaanza...
Ole wenu ninyi wenye Pogba Lingard na Marshal ...mpka sasa mumeshapigwa (-1) goli na game bado..
Kila la kheri Nu Casto