Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,481
- 27,185
Huyu dogo fala sana dakika zote uwanjani anatembea tu kama match official, akiupata mpira akacheza kama ana mimba ya miezi tisa.
Ole nae hata kumtoa hawezi anamwangalia anatembea uwanjani wakati anatakiwa akabe
naomba mkeka wako unaofuata unishirikishena leo lazima nipige pesa nimemuua mancity nimempa chelsea nimempa arsenal na nimemuua na man u kwa newcastel1X kwa elfu10000 imetoka M1na elfu 52
poapoa mkuunaomba mkeka wako unaofuata unishirikishe
sababu zote mbili zinajibu swali lakoOle akitanguliwa hawezi kurudisha sijajua ni kwanini labda kimbinu bado hajakomaa au hana wachezaji wakubadilisha matokeo
Ulishaona tunauza ovyo ovyo?Sasa Arsenal mnatofauti gani na sisi? Mnachotuzidi ni kwamba nyie wachezaji wenu wamechangamka zaidi!
Wanachangamka ili wapate club za kwenda!
Salary = £200,000 a week.View attachment 1225607
nipo hapa manchester watu wameandamana wanataka kocha afukuzwe
Hakuna club ya kueleweka duniani inayoweza Kumtegemea Rashford kama striker namba moja.Ulishaona tunauza ovyo ovyo?
Sisi tuna wachezaji ila kocha hatuna ,
Fikiria hatuna kocha lkn tupo nafas ya 3 ,je tungekuwa na kocha?
Utofaut wenu na sisi ,nyie mna average player wengi ,
Rashid ,lingard , Pereira ,Maguire , n.k hawapat namba pale arsenal
Ahaaaa ahaaaa hivi kumuangalia kwa jicho la tatu kukoje huko nijifunze.Mkuu huyu ukimuangalia kwa Jicho la 3 akiwa anatembea uwanjani bila ya Mpira anakuwa hatari zaidi kuliko akiwa na Mpira! Trust me.
Ahaaaa ahaaaa hivi kumuangalia kwa jicho la tatu kukoje huko nijifunze.
Jamaa hafungi, hatoi assist, tackling rate yake sio kubwa ila ni hatari sana. Sijui wanapimaje.
kama solskjaer ataendelea kuwepo nakuhakikishia atamsajili mmoja kati ya hao ndugu wawili, unadhani kwa sajili za ovyo kama hizo zitatutoa kwenye dimbwi la dhoruba?Garry neville
The Longstaff brothers made me happy yesterday ! We see hundreds of interviews every year where players/managers are concentrated ,focused and on guard. The purity , the joy and the love of football was amazing and it should be shown to every young player . #Dreams
Labda kocha wa mdakooo
Ukipata nafasi ya kucheka au kufurahi leo, basi itumie kisawasawa maana hujui kesho yake kipi kitakukutaHio ni lugha ya picha tu mzee usiogope, ila pia kwa sisi die hard fan hii timu inatupa stress sana sanaa na stress zinakuja sio sababu tumefungwa hapana ila kwa sababu future ya timu haieleweki, yani kila kesho afadhali ya jana
Mchezaji hata hatishi ,sidhan kama atafikisha magoli 10 bila penaltyHakuna club ya kueleweka duniani inayoweza Kumtegemea Rashford kama striker namba moja.
Rashid Makame(Rashford) natania tuWaliopata kushuhudia OGS akicheza soka naombeni mlinganishe uchezaji wake enzi hizo ilikuwa unafanana na mchezaji gani pale Manchester kwa sasa.