Chelsea muunganiko wa timu umekubali wakati sisi bado tunasubiri january transfer window ili tutengeneze timu.
Inaleta tofauti gani kusajili wachezaji 5-6 kwa dirisha moja ili kuanza kujenga timu na kusubiri kusajili kwa mafungu wakati uhitaji unaonekana kuwepo tangu awali kutokana na maoni ya giggs? Daemusin
Na kupaisha free-kicks huko Ole akiendelea kumsifia ujinga.😂😂
Nakumbuka kuna mchango wangu humu nilisema Chelsea watamaliza juu ya MUFC licha ya kuzuiwa kusajili. Hii ni kwasababu wana wachezaji ambao akili zao zote zipo Chelsea.
Pale MUFC wachezaji wanaotegemewa akili zao zipo nje kabisa huko,wengine zipo Instagram na kwenye kutupia pamba kali na utozi mwingi.
Chelsea hamna matozi mule, unaanza na Kante hata kulog in Instagram hajui kwanini asikichafue?😂😂