Rajab_Omar JF-Expert Member Joined May 15, 2016 Posts 16,481 Reaction score 27,185 Oct 5, 2019 #118,761 Walas Ba said: Spurs kala nini msimu huu ? Click to expand... Kuwatumia Wachezaji walewale kwa Muda mrefu bila ya usajili wa uhakika ndiyo hupeleke mambo kama haya yanayomkuta Spurs
Walas Ba said: Spurs kala nini msimu huu ? Click to expand... Kuwatumia Wachezaji walewale kwa Muda mrefu bila ya usajili wa uhakika ndiyo hupeleke mambo kama haya yanayomkuta Spurs
lukesam JF-Expert Member Joined Feb 23, 2015 Posts 13,199 Reaction score 28,080 Oct 5, 2019 #118,762 King Ngwaba said: Mkuu unakumbuka uliposema Spurs asipochukua ubingwa msimu huu atakamata nafasi ya 2? Nilikupinga sana lakini ukasisitiza Kuwa Spurs ndiyo Timu yenye nafasi kubwa ya kubeba ubingwa. Vipi bado una Imani ya Spurs kubeba ubingwa? Click to expand... Naona kama kuna tatizo ndani ya timu, pengine wameanza mpango wa kumsusia kochaππ Ila kwa kikosi chao niliamini hivyo,ngoja tuendelee kuona maana ligi bado mbichi mkuu.
King Ngwaba said: Mkuu unakumbuka uliposema Spurs asipochukua ubingwa msimu huu atakamata nafasi ya 2? Nilikupinga sana lakini ukasisitiza Kuwa Spurs ndiyo Timu yenye nafasi kubwa ya kubeba ubingwa. Vipi bado una Imani ya Spurs kubeba ubingwa? Click to expand... Naona kama kuna tatizo ndani ya timu, pengine wameanza mpango wa kumsusia kochaππ Ila kwa kikosi chao niliamini hivyo,ngoja tuendelee kuona maana ligi bado mbichi mkuu.
chichariton JF-Expert Member Joined Jun 26, 2016 Posts 238 Reaction score 260 Oct 5, 2019 #118,763 ole ni inexperienced na hana mbinu badala timu inapobanwa
Greatest Of All Time JF-Expert Member Joined Jan 1, 2017 Posts 25,012 Reaction score 56,297 Oct 5, 2019 #118,764 Tuna kikao cha dharura huku
W Walas Ba JF-Expert Member Joined Sep 6, 2012 Posts 3,393 Reaction score 1,734 Oct 5, 2019 #118,765 lukesam said: Zile saba bado zinawachanganya hawa na niliwatabiria ubingwa. Lloris kavunjika sijui kama watafurukuta tena. Pochettino naona naye sijui amepatwa na nini, Sissoko anacheza kama beki?π Click to expand... Niliona lineup nikasema labda kuna Sisoko wawili Poch nae hana mbinu kama Ole wetu ama ? Au wachezaji wamechoka maana kikosi chake n kifinyu afu kila mwaka wanapambana hao hao ?
lukesam said: Zile saba bado zinawachanganya hawa na niliwatabiria ubingwa. Lloris kavunjika sijui kama watafurukuta tena. Pochettino naona naye sijui amepatwa na nini, Sissoko anacheza kama beki?π Click to expand... Niliona lineup nikasema labda kuna Sisoko wawili Poch nae hana mbinu kama Ole wetu ama ? Au wachezaji wamechoka maana kikosi chake n kifinyu afu kila mwaka wanapambana hao hao ?
OllaChuga Oc JF-Expert Member Joined Jul 4, 2016 Posts 21,933 Reaction score 25,245 Oct 5, 2019 #118,766 King Ngwaba said: Kuwatumia Wachezaji walewale kwa Muda mrefu bila ya usajili wa uhakika ndiyo hupeleke mambo kama haya yanayomkuta Spurs Click to expand... Aya mambo ndo yatamkuta na Klopp muda sio mrefu..
King Ngwaba said: Kuwatumia Wachezaji walewale kwa Muda mrefu bila ya usajili wa uhakika ndiyo hupeleke mambo kama haya yanayomkuta Spurs Click to expand... Aya mambo ndo yatamkuta na Klopp muda sio mrefu..
W Walas Ba JF-Expert Member Joined Sep 6, 2012 Posts 3,393 Reaction score 1,734 Oct 5, 2019 #118,767 King Ngwaba said: Kuwatumia Wachezaji walewale kwa Muda mrefu bila ya usajili wa uhakika ndiyo hupeleke mambo kama haya yanayomkuta Spurs Click to expand... Kingine hivi lile limfumo kalitoa wapi ? Anacheza kama Sosha ila ss mbna yeye watu wa kazi anao karibia kila idara.
King Ngwaba said: Kuwatumia Wachezaji walewale kwa Muda mrefu bila ya usajili wa uhakika ndiyo hupeleke mambo kama haya yanayomkuta Spurs Click to expand... Kingine hivi lile limfumo kalitoa wapi ? Anacheza kama Sosha ila ss mbna yeye watu wa kazi anao karibia kila idara.
ze-dudu JF-Expert Member Joined Jul 26, 2014 Posts 18,428 Reaction score 24,145 Oct 5, 2019 #118,768 Toka fregie astaafu hawajarudi tena OT hawa wahindi FORTALEZA said: Tuna kikao cha dharura huku View attachment 1224361 Click to expand...
Toka fregie astaafu hawajarudi tena OT hawa wahindi FORTALEZA said: Tuna kikao cha dharura huku View attachment 1224361 Click to expand...
ze-dudu JF-Expert Member Joined Jul 26, 2014 Posts 18,428 Reaction score 24,145 Oct 5, 2019 #118,769 Hazard katupia huko
ze-dudu JF-Expert Member Joined Jul 26, 2014 Posts 18,428 Reaction score 24,145 Oct 5, 2019 #118,770 Mbadala wa kane ni yupi son je Walas Ba said: Niliona lineup nikasema labda kuna Sisoko wawili Poch nae hana mbinu kama Ole wetu ama ? Au wachezaji wamechoka maana kikosi chake n kifinyu afu kila mwaka wanapambana hao hao ? Click to expand...
Mbadala wa kane ni yupi son je Walas Ba said: Niliona lineup nikasema labda kuna Sisoko wawili Poch nae hana mbinu kama Ole wetu ama ? Au wachezaji wamechoka maana kikosi chake n kifinyu afu kila mwaka wanapambana hao hao ? Click to expand...
ze-dudu JF-Expert Member Joined Jul 26, 2014 Posts 18,428 Reaction score 24,145 Oct 5, 2019 #118,771 Ule utatu wake kule mbele hauna hata mbadala akiumia mmojawapo Ollachuga Oc said: Aya mambo ndo yatamkuta na Klopp muda sio mrefu.. Click to expand...
Ule utatu wake kule mbele hauna hata mbadala akiumia mmojawapo Ollachuga Oc said: Aya mambo ndo yatamkuta na Klopp muda sio mrefu.. Click to expand...
BARDIZBAH JF-Expert Member Joined Jan 11, 2017 Posts 5,903 Reaction score 11,711 Oct 5, 2019 #118,772 Ni aibu sana mtu kama kagere anacheza simba halaf Rashida anacheza Nyumbu
Mr Devil JF-Expert Member Joined Jul 7, 2019 Posts 14,905 Reaction score 34,435 Oct 5, 2019 #118,773 Ila Man u ya watoto wa kike ina visu..itabidi niamie uku.nipate raha
Al Watani JF-Expert Member Joined Dec 28, 2014 Posts 21,697 Reaction score 32,447 Oct 5, 2019 #118,774 Kuna mgogoro kwenye dressing room lukesam said: Zile saba bado zinawachanganya hawa na niliwatabiria ubingwa. Lloris kavunjika sijui kama watafurukuta tena. Pochettino naona naye sijui amepatwa na nini, Sissoko anacheza kama beki? Click to expand...
Kuna mgogoro kwenye dressing room lukesam said: Zile saba bado zinawachanganya hawa na niliwatabiria ubingwa. Lloris kavunjika sijui kama watafurukuta tena. Pochettino naona naye sijui amepatwa na nini, Sissoko anacheza kama beki? Click to expand...
Chief-Mkwawa Platinum Member Joined May 25, 2011 Posts 32,062 Reaction score 43,488 Oct 5, 2019 #118,775 ze-dudu said: Toka fregie astaafu hawajarudi tena OT hawa wahindi Click to expand... Siti zao zimekuwa reserved kwa kampuni fulani, wamehamia Siti nyengine.
ze-dudu said: Toka fregie astaafu hawajarudi tena OT hawa wahindi Click to expand... Siti zao zimekuwa reserved kwa kampuni fulani, wamehamia Siti nyengine.
BARDIZBAH JF-Expert Member Joined Jan 11, 2017 Posts 5,903 Reaction score 11,711 Oct 5, 2019 #118,776 Kituo kijacho ni hapo old toilet
lukesam JF-Expert Member Joined Feb 23, 2015 Posts 13,199 Reaction score 28,080 Oct 5, 2019 #118,777 Mpira ni mchezo wa maajabu sana, aliyemfunga City leo amepigwa tano na Aston villa πππ
joseph1989 JF-Expert Member Joined May 4, 2014 Posts 18,864 Reaction score 39,627 Oct 5, 2019 #118,778 Hodi hodi hodi majirani kituo kinachofuata ni LIVERPOOL.
joseph1989 JF-Expert Member Joined May 4, 2014 Posts 18,864 Reaction score 39,627 Oct 5, 2019 #118,779 lukesam said: Mpira ni mchezo wa maajabu sana, aliyemfunga City leo amepigwa tano na Aston villa πππ Click to expand... Wenye mikeka wanasonya......... Wengine wameenda kutoa mingine mipyaππππππππππ
lukesam said: Mpira ni mchezo wa maajabu sana, aliyemfunga City leo amepigwa tano na Aston villa πππ Click to expand... Wenye mikeka wanasonya......... Wengine wameenda kutoa mingine mipyaππππππππππ
ze-dudu JF-Expert Member Joined Jul 26, 2014 Posts 18,428 Reaction score 24,145 Oct 5, 2019 #118,780 Why wapewe iyo kampuni Na kama wamehamia siti nyingine mbona sijawah waona toka fergie asepe Chief-Mkwawa said: Siti zao zimekuwa reserved kwa kampuni fulani, wamehamia Siti nyengine. Click to expand...
Why wapewe iyo kampuni Na kama wamehamia siti nyingine mbona sijawah waona toka fergie asepe Chief-Mkwawa said: Siti zao zimekuwa reserved kwa kampuni fulani, wamehamia Siti nyengine. Click to expand...