Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Asante mkuu,hili liteam linaniliza kila siku!!ubaya hata siwezi kuacha kufatilia
Me nimeacha kungalia mechi kabsa,hata humu uzini napita kimya kimya bahati nzuri nashukuru nmewezaga kujizui kuwa shabiki andazi wakutambia/kukashifu watu timu yangu ikishinda I gladly receiving the same favour [emoji26]
 
Mkuu Zidane" kiingereza" kilimgomea akabaki na kispaniola ambacho kwa sasa kinamsumbua kwani "tenses" hazipandi tena pale Madrid, ila kwa sasa anafanya vizuri kwenye somo la lugha ya Kichina.
hata Zidane alijifunza kidhungu na sijui waliishia wapi katika madarasa yao.

na ubaya wetu sisi mashabiki mtu akijifunza kingereza tu basi anataka kazi United.
 
Natakka Ole asifukuzwe.

Abaki mpaka mwisho wa msimu.

Baada ya hapo tufanye assessment ya uwezo wake.
 
Mimi nilisema humu na nitaendelea kusema united ni aseno mpya ndani ya epl na hawa watoto wakiwa matured tu hawatakubali kuendelea kukaa kwenye timu iliyooza watauzwa tu......yaleyale ya wenga alipokua aseno anakuza wakishakomaa wanamkimbia
 
Anawaza penati kweli???
 
Me nimeacha kungalia mechi kabsa,hata humu uzini napita kimya kimya bahati nzuri nashukuru nmewezaga kujizui kuwa shabiki andazi wakutambia/kukashifu watu timu yangu ikishinda I gladly receiving the same favour [emoji26]
Mkuu hutaki shida

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hahahhaha kwahiyo mnajiaminisha hivo , siku hizi mnatamba na James tu, nasikia Leo hamjapiga shoot on target hata 1 ni kweli?
Hahaha,naona nimemzungumzia pepe umeumia sana hadi unatapatapa. Kwahiyo kwa kutopiga shoot hata moja timu nzima leo ndo unataka kusema James ni sawa na Pepe tu? Angalia wanasoka wasije kukuchoma moto.πŸ˜‚πŸ˜‚
 
[emoji735] Daniel James
[emoji735] Angel Gomes
[emoji735] Mason Greenwood
[emoji735] Juan Mata
[emoji735] Fred
[emoji735] Marcus Rashford
[emoji735] Jesse Lingard

Man Utd failed to have a single shot on target against AZ [emoji15]
Sikujua kama nikimtaja kipepe unaumia hivi.πŸ˜‚πŸ˜‚

Tumetoa pesa ndogo sana kununua mchezaji bora mara 100 kumzidi pepe wenu mliyeuziwa kwa mapesa kibao. Kwani pepe amepiga mashuti mangapi hadi sasa na ana goli ngapi?πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Yan jamaa anavo mdefend pepe.. Anakwambia ana pace sna kwhy mwalimu hajui kumtumia.. Ss m2 kua na pace ndo uwe unacheza ujinga useme eti mwalim hajui kumtumia wkt unaona kbs huu ni upumbav wa mchezaj kua wasteful...mpk ss pepe anazidiwa hata na yule dg Saka kwa utulivu na kucheza mpr maana anaruka ruka tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…