Mc cane
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 5,569
- 10,527
Kuna wakati mashabiki tunawalaumu makocha (kwa haki) na kuna wakati kuna jambo wao wanalijua sisi hatulijui, kwa hiyo kumlaumu Unai kwa upangaji wa kikosi na kunasibisha matokeo mnayopata si sahihi. Mfano nani angekuelewa miezi 2 iliyopita ungeitaja hiyo midfield unayotaka (uwepo wa Guendouzi)
Kwenye hii game naona mashabiki wa Arsenal wanajiamini sana kiukweli kuliko uhalisia. Hivi ukiacha mbele pale, kuna sehemu Gunners mna uwezo kutuzidi? May be kutokuwepo kwa Pogba kidogo kunawapa kutuzidi lakini OGS akimuamini Fred, halafu Mc Terminator acheze kama kawaida akae na Matic (ndio aliyepo) sidhani kama mid ya Xhaka (captain lazima acheze), Guendouzi na whoever be it Ceballaous/Torreira wataizidi mid ya United
Sehemu pekee Arsenal mliyotuzidi ni mbele. Na kitu pekee kinachonipa wasiwasi kwa upande wa United ni upande wa kutengeneza na kufunga magoli, Japo tumekuwa tukipata magoli iwe kwa penati au vyovyote, na dhidi ya timu kubwa tuna uwezo wa kupata magoli kuliko dhidi ya timu ndogo zinazopaki, sababu nilishazitaja.
Upande wa beki yenu hali mbaya, sitashangaa kuona matuta yakipatikana. Ukiacha Brighton and Hove Albion ni Arsenal tu ndio wamesharuhusu penati 5 golini kwao mpaka sasa
Nikiwa natambua ubora wa Arsenal pale mbele, pia natambua kuimarika kwa United upande wa ulinzi
History speak. Arsenal ana miaka zaidi ya 15 hajashinda mechi ya ligi pale OT
Pia katika miaka ya hivi karibuni Arsenal imeshindwa kupata matokeo mazuri pale OT hata United wakiwa wanachechemea.
Nakumbuka ule mwaka wa Van Gaal, debut ya Rashford, ile siku United alikuwa ana kikosi kibovu sana lakini Arsenal alipigwa. Msimu uliopita chini ya Jose, United akiwa kwenye kiwango kibovu na kila mtu akiamini United atapigwa, lakini Arsenal wakashindwa kupata matokeo waliyotegemea.
Wewe umesema 50/50. Mimi naona 60/50. Labda nipo biased lakini nina sababu zinazofanya niamini hivyo
Kwenye hii game naona mashabiki wa Arsenal wanajiamini sana kiukweli kuliko uhalisia. Hivi ukiacha mbele pale, kuna sehemu Gunners mna uwezo kutuzidi? May be kutokuwepo kwa Pogba kidogo kunawapa kutuzidi lakini OGS akimuamini Fred, halafu Mc Terminator acheze kama kawaida akae na Matic (ndio aliyepo) sidhani kama mid ya Xhaka (captain lazima acheze), Guendouzi na whoever be it Ceballaous/Torreira wataizidi mid ya United
Sehemu pekee Arsenal mliyotuzidi ni mbele. Na kitu pekee kinachonipa wasiwasi kwa upande wa United ni upande wa kutengeneza na kufunga magoli, Japo tumekuwa tukipata magoli iwe kwa penati au vyovyote, na dhidi ya timu kubwa tuna uwezo wa kupata magoli kuliko dhidi ya timu ndogo zinazopaki, sababu nilishazitaja.
Upande wa beki yenu hali mbaya, sitashangaa kuona matuta yakipatikana. Ukiacha Brighton and Hove Albion ni Arsenal tu ndio wamesharuhusu penati 5 golini kwao mpaka sasa
Nikiwa natambua ubora wa Arsenal pale mbele, pia natambua kuimarika kwa United upande wa ulinzi
History speak. Arsenal ana miaka zaidi ya 15 hajashinda mechi ya ligi pale OT
Pia katika miaka ya hivi karibuni Arsenal imeshindwa kupata matokeo mazuri pale OT hata United wakiwa wanachechemea.
Nakumbuka ule mwaka wa Van Gaal, debut ya Rashford, ile siku United alikuwa ana kikosi kibovu sana lakini Arsenal alipigwa. Msimu uliopita chini ya Jose, United akiwa kwenye kiwango kibovu na kila mtu akiamini United atapigwa, lakini Arsenal wakashindwa kupata matokeo waliyotegemea.
Wewe umesema 50/50. Mimi naona 60/50. Labda nipo biased lakini nina sababu zinazofanya niamini hivyo
Mkuu Mc cane ushindi wenu kesho unategemea sana upumbavu wa emery maana tayari beki zetu zimerudi
Na kama kiungo akipanga vzr sioni mkitoboa ila kama atakuja na approach ile ile kama ya Liverpool basi mtatupiga kirahisi maana mpaka sasa emery hajui kuzicheza mechi kubwa
Hivi hapa atajifanya ana mipango buku kesho anakuja na utumbo ,ila akipanga kiungo vzr ceballos Gunduz lt11 , Mechi itakuwa ngumu sana kwenu.
By the way, man u siwabezi kama wengi wanavyoichukulia ,
Mechi ni 50/50