Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuna wakati mashabiki tunawalaumu makocha (kwa haki) na kuna wakati kuna jambo wao wanalijua sisi hatulijui, kwa hiyo kumlaumu Unai kwa upangaji wa kikosi na kunasibisha matokeo mnayopata si sahihi. Mfano nani angekuelewa miezi 2 iliyopita ungeitaja hiyo midfield unayotaka (uwepo wa Guendouzi)

Kwenye hii game naona mashabiki wa Arsenal wanajiamini sana kiukweli kuliko uhalisia. Hivi ukiacha mbele pale, kuna sehemu Gunners mna uwezo kutuzidi? May be kutokuwepo kwa Pogba kidogo kunawapa kutuzidi lakini OGS akimuamini Fred, halafu Mc Terminator acheze kama kawaida akae na Matic (ndio aliyepo) sidhani kama mid ya Xhaka (captain lazima acheze), Guendouzi na whoever be it Ceballaous/Torreira wataizidi mid ya United

Sehemu pekee Arsenal mliyotuzidi ni mbele. Na kitu pekee kinachonipa wasiwasi kwa upande wa United ni upande wa kutengeneza na kufunga magoli, Japo tumekuwa tukipata magoli iwe kwa penati au vyovyote, na dhidi ya timu kubwa tuna uwezo wa kupata magoli kuliko dhidi ya timu ndogo zinazopaki, sababu nilishazitaja.

Upande wa beki yenu hali mbaya, sitashangaa kuona matuta yakipatikana. Ukiacha Brighton and Hove Albion ni Arsenal tu ndio wamesharuhusu penati 5 golini kwao mpaka sasa

Nikiwa natambua ubora wa Arsenal pale mbele, pia natambua kuimarika kwa United upande wa ulinzi

History speak. Arsenal ana miaka zaidi ya 15 hajashinda mechi ya ligi pale OT

Pia katika miaka ya hivi karibuni Arsenal imeshindwa kupata matokeo mazuri pale OT hata United wakiwa wanachechemea.

Nakumbuka ule mwaka wa Van Gaal, debut ya Rashford, ile siku United alikuwa ana kikosi kibovu sana lakini Arsenal alipigwa. Msimu uliopita chini ya Jose, United akiwa kwenye kiwango kibovu na kila mtu akiamini United atapigwa, lakini Arsenal wakashindwa kupata matokeo waliyotegemea.

Wewe umesema 50/50. Mimi naona 60/50. Labda nipo biased lakini nina sababu zinazofanya niamini hivyo
 
Mkuu midfield ya Arsenal sio kama unavyoichukulia , ni emery ndio analalamikiwa worldwide kuipanga ovyo,

Iwapo tutaanza na hata Xhaka gunduz ceballos bado sion mkituzidi sana

Hata beki ni kweli INA errors kibao nikutokana na emery kupanga ovyo DM. Habari njema nikuwa Tayari kesho mmoja kati ya luiz na sokratis atampisha Holding, ambaye amerejea , na namba 2 amerejea chambers ,

Na hata LB karejea bwana mdogo KT, hivo kama emery atapanga vzr kama mashabik wanavyomwambia , naona mkisumbuka sana

Mech zenu anayetusumbuaga ni pogba tu pale kati,

Mm bado mech naipa 50/50 maana simuamin emery kwenye upangaji

Baada ya line up nitapunguza au kuongeza %
 
Pep siku zote huwa anafunguka lakini humfungi kwa counters
 
Ebwana kwa kukosa kosa Tammy na Rashford wote ni walewale.

Striker yenu bado siyo tamu. Mnatengeneza nafasi vizuri ila finishing mtihani.
Aise Tammy ni Rashid watatu mkuu ..

Naomba kesho mfumuliwe za kutosha ili mpate akili..

Kila la kheri Man United
 
Kesho arsenal mnawapiga mkuu ..uhakika wa kushinda upo tena mkubwa tu
 
Kwanini watu mnadhani kuifunga Arsenal kesho ni maajabu?

Wao wenyewe hawapo kwenye kiwango kizuri

Wao sio City au Liverpool kwa sasa, kwanini kuwafunga iwe maajabu?

After all they are Arsenal dhidi ya United, tena Old Trafford
Tuko pamoja mkuu kesho tunapeleka kilio na majonzi kule emirates.

Kila la kheri Man united
 
Taarifa za ndani zinasema kuanzia jana Maguire hajaongea na mtu kabisa huko Carrington, anavunjavunja vitu tu. Sijui anajiandaa kufanya nini.
Kesho magwaya atalala na viatu ..cjui Auba atapitia wap ..uku Bissaka uku magwaya uku dah ..

Kila la kheri man united
 
Apana mkuu hii man united mbona ina vijana machachari tu ..
Rashford pale ..kuna lingard, achilia mbali jemsi kuna uyo magwaya, Bissaka uku dah, kipa bora kabisa kuwahi kutokea De Gea + tuko OT tena aaagh hii Arsenal watapitia wapi? Laccazete ayupo uyo auba kazi anayo ..yan kesho Man united ikishinda goli chache sana labda ni mbili ..

Kila la kheri Man united
 
Average kushinda Rashford na Lingard?kiukweli ni kwamba hata kama ni average lakini wewe huna striker wa kumfananisha na LACA kwa maana hiyo ni hatari kwako
Uyo lacca ata Geroud anamweka benchi timu ya taifa ..amna kitu minguvu tu..Rashid akitulia vizuri kuna goli mbili clear kabisa ..ukichek bek ni luiz, papaston cjui..

Kila la kheri man united
 
Tammy ameachwa mbali sana na EDDY NKETIAH
Yani anayeibeba arsenal ni Auba ..sasa kesho Magwaya atalala naye ata kivuli chake akitapata nafasi...

Naiona arsenal ikistrugle sana kesho..

Kila la kheri man united
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…