Ole Ole Ole oleee oleee duh Mou tusamehe tulikuwa tuna kusema vibaya. Hii Pogba baada ya yeye ndio achezewe vibaya lakini ndio anaongoza kucheza vibaya
marcus rashford
amecheza nusu msimu chini ya louis van gaal
amecheza misimu mitatu chini ya jose mourinho
anaelekea kucheza msimu mmoja chini ya ole gunnar solskjaer.
lakini bado tunaambiwa jamaa ni mtoto kwa sababu ya umri wake.