Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Manchester United back Ole Gunnar Solskjaer despite dismal form and are ready to give him funds in January to strengthen squad | @ChrisWheelerDM https://t.co/qSYLVxKKJyUnarudi sokoni kocha Ole??
Dirisha lilifungwa wakati wachezaji wazuri wapo, hilo dirisha dogo ndo utawapata hao viwango?
Alikuwa wapi kabla ya dirisha halijafungwa?
Management iliridhia hiko kikosi kiingie kwenye michuano.
Mafanikio Ole Sendeka anayoweza kuyapata Old Trafford ni labda timu ishuke daraja.Kufeli kwa LVG haimanishi makocha wengine pia watafeli. Hata hivyo LVG, alikuwa Old school, kuna makocha wazuri wanafundisha modern football, kama
Ten Hag
Jardim
Kuna yule aliyeko RB leipzig, Naingelsman
Hata Allegri sio mbaya
Luis enrique.
Atleast hao wameprove wanaweza kusuka kikosi na kikacheza mpira unaeleweka na kucompete kwenye top level,
Napenda sana OLE afanikiwe tena afanikiwe akiwa kocha wa Man u. But........
Na bado timu ita'struggle' Domestically licha ya kutoshiriki mashindano ya UlayaBora hata huko Europa tusiwepo kabisa.
Uwezo wa kupigania top Six upo kweli?
na nimehama litimu lenu
Sikuwa nampenda huyu jamaa lakini bora yeye Ole ameprove failure kabisa huyo lampard hajasajili timu inafungwa lakini inaonekana kuna mpira inacheza kiasi chake unavutia ila Hii timu ya masai ole hovyo kabisa.
kweli mkuu mi naomba na game zinazo fata tuchapwe mpaka wamfukuzeSikuwa nampenda huyu jamaa lakini bora yeye Ole ameprove failure kabisa huyo lampard hajasajili timu inafungwa lakini inaonekana kuna mpira inacheza kiasi chake unavutia ila Hii timu ya masai ole hovyo kabisa.
Hana mbinu za kubadili mchezo mfumo anaanza nao mpaka mechi inaisha ni huo huo habadiliki na hapo mshafungwa. Yani hii timi ingekua demu nishapiga chini
Kimechi cha kesho tunaeza shinda kwa kulazimisha ila mechi zinazokuja inatakiwa tupigwe haswaa..Kwanza Arsenal ishinde kibabe, za away zote tupigwe,mech ya liverpool ifukuze mtukweli mkuu mi naomba na game zinazo fata tuchapwe mpaka wamfukuze
Kocha hana mbinu za kubadili mchezo afu ni mvivu na anamtegemea rashford
ahahahahaha afu timu imefungwa anaumia rashford anaingia lingard kama mshambuliajiToa mata weka gomez akapambane bao lirudi
Daaah aliniacha hoi kwa kweli
Timu zote hazitengenezi timu?Jaman twendeni taratibu , tunatengeneza timu, tunaomba muwe waelewa.....!!!
Hali mbayaUwezo wa kupigania top Six upo kweli?
marcus rashford
amecheza nusu msimu chini ya louis van gaal
amecheza misimu mitatu chini ya jose mourinho
anaelekea kucheza msimu mmoja chini ya ole gunnar solskjaer.
lakini bado tunaambiwa jamaa ni mtoto kwa sababu ya umri wake.
Hapo mkuu uko sawa kabisa.. Mie huwa najiuliza.. Sijui kwa nini Huwa anasita badili wachezaj hasa pale wana po kuwa chin ya kiwangoKocha hana mbinu za kubadili mchezo afu ni mvivu na anamtegemea rashford