Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Naona harufu inazidi hapa khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Manyu 0 - 2 Braga hebu kazeni buti ... ..... .. ebo!



Nasikia na Barca huko wako 1 down ... .... ...
 
Thats like it 1 back ... .... .... ... sio mnaleta utukutu hapa wakati tumewapa Judas Is .... .... ... khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Mashabiki koko chacha wanakuja baada ya kuponea chupu chupu .... ....... ..Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
aisee hii tabia ya kuanza kufungwa goli la kwanza sipendezwi nalo...vidic anarudi lini? tunaanza kucheza kama enzi zile za newcastle...kwamba you score 1 we score 2 you score 3 we score 4 aah hapana...we need to sort out our defence soon vidic come back soon...michael carrick is not a defender and never will be...smallin, jones acheni umayai....changamkeni season ndio ishaanza hivo kunaanza kuchanganyika
 
washabiki wa man utd tuko wakimya sana,game zima comment sijui 4 tena 3 zimetolewa na wacha1!lakini ndio kawaida yetu,tunachonga tunapoona kombe liko njiani kuja kwetu!

ila nyuma tunavuja sana....ni zaidi ya chujio
 
washabiki wa man utd tuko wakimya sana,game zima comment sijui 4 tena 3 zimetolewa na wacha1!lakini ndio kawaida yetu,tunachonga tunapoona kombe liko njiani kuja kwetu!

ila nyuma tunavuja sana....ni zaidi ya chujio

Lile la kwanza lilitufanya tunywee, ndo sababu comments ni chache. Ila usihofu, tunaendelea kuchabikia timu yetu
 

Lile la kwanza lilitufanya tunywee, ndo sababu comments ni chache. Ila usihofu, tunaendelea kuchabikia timu yetu

hapana idimi,sisi ni wakimya sana,hata pre game comments huwaga hakunaga!sasa sijui tunafungwaga cha kwanza cha kutufanya tunywee kabla ya game?

haya tumeshinda hata kuja kupongezana hakuna!hongera mkuu tumeshindaaaaaaaaaa!
 
Jana tumetisha. Tumeweka REKODI kati y timu zilizowahi kushinda ,mechi ya UEFA ikiwa nyuma kwa goli 2 nyuma
 
Nicheke mie, Wacha tuchubiri mtanange wetu leo jioni na Gunners watakuwa tele kama pishi la udaga .... .... .... ... chichi wengine tutakuwa Emirates .... .... .... poleni wakuu naona ile pressure ilikuwa ya kuua mtu khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeee.
 
Nicheke mie, Wacha tuchubiri mtanange wetu leo jioni na Gunners watakuwa tele kama pishi la udaga .... .... .... ... chichi wengine tutakuwa Emirates .... .... .... poleni wakuu naona ile pressure ilikuwa ya kuua mtu khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeee.

We trust in Wenger
 
washabiki wa man utd tuko wakimya sana,game zima comment sijui 4 tena 3 zimetolewa na wacha1!lakini ndio kawaida yetu,tunachonga tunapoona kombe liko njiani kuja kwetu!

ila nyuma tunavuja sana....ni zaidi ya chujio

sio kua kimya mimi man utd ikiwa inacheza yaani hua nakaa kwenye tv sibanduki na concentrate nachomoka tu half time alafu narudi tena mpaka mpira uishe so humu ndani naingia after the game...siwezi kuangalia mpira huku naandika hapa nakua nakosa uhondo wa game lenyewe :happy:
 
Nicheke mie, Wacha tuchubiri mtanange wetu leo jioni na Gunners watakuwa tele kama pishi la udaga .... .... .... ... chichi wengine tutakuwa Emirates .... .... .... poleni wakuu naona ile pressure ilikuwa ya kuua mtu khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeee.

Vipi huo mtanange wenu matokeo yalikuwaje? Rudisha basi riport mwana...
 
njia rahisi ya kuwafunga chelsea ni kutumbukiza goli si pungufu ya 3 golini kwao.ni ngumu sana kwa man utd kucheza na chelsea na chelsea wasipate goli hata moja!huwa sijui kwanini
 
njia rahisi ya kuwafunga chelsea ni kutumbukiza goli si pungufu ya 3 golini kwao.ni ngumu sana kwa man utd kucheza na chelsea na chelsea wasipate goli hata moja!huwa sijui kwanini

Tena kwa beki yenu ya sasa ilivyo uchochoro, lazima mfungwemengi, atajitahidi kuyaapunguza kipa ila laziama afungwe ya kutosha.
 
CHELSEA 1-2 MANCHESTER UNITED :A S soccer::A S soccer::A S soccer::A S soccer::A S soccer:
 
"Menyewe" BJ & Co mko humu? Nasubiri mchapo kwa hamu kuu matokeo muafaka kwa leo ni sare ya 0-0
 
Tuendelee kutoa live updates wadau, nipo benet na na uwanja
 
Back
Top Bottom