Manchester wamefungwa gori nne tu mpaka sasa, yenyewe na liverpool ndio wamefungana kwa kuwa timu zilizofungwa magori machache mpaka hatua hii.
Maana yake ni kwamba, Man U sasa ni more defending kuliko wakati wa mourniho wala van-dagaa hasa ukiangalia idadi chache sana ya magori kulinganisha na washindani wake.
yale maneno ya attack attack kutoka kwa OGS yamepotea. Ole ni fraud.