Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Rio and Judas yellow carded ... .... .. Manyu bado hawajiamini .... ... Mike Dean aliyepewa jezi ya Manyu sometime back anawabeba hapa.
 
Jamaa wakitulia wanaweza kurudisha goli zote 2 kama hawatoruhusu goli lingine...ila refa naye anaanza kuleta za kuleta, anaweza kuuharibu mchezo.
 
Jamaa wakitulia wanaweza kurudisha goli zote 2 kama hawatoruhusu goli lingine...ila refa naye anaanza kuleta za kuleta, anaweza kuuharibu mchezo.

Bak hiyo ngumu sana .... .... .... .... huyu ni refa wa Manyu .... ..... ...


article-2213559-0CB34623000005DC-881_468x353.jpg


Reffing hell: Ryan Babel tweeted a mock-up
of Howard Webb in a United shirt


 
Bak hiyo ngumu sana .... .... .... .... huyu ni refa wa Manyu .... ..... ...


article-2213559-0CB34623000005DC-881_468x353.jpg


Reffing hell: Ryan Babel tweeted a mock-up
of Howard Webb in a United shirt



Pamoja na hayo United wanadefend in great number na Newcastle watapigwa goli la kushtukiza not so SOON hii imeshakula kwa NEWCASTLE
 
...Mkuu Wacha1...Namjua huyu maamuzi yake mengi huwa yamejaa utata. Baada ya HT atawaminya sana Newcastle ili kuhakikisha hawapati nafasi ya angalau kutoa sare.

Bak hiyo ngumu sana .... .... .... .... huyu ni refa wa Manyu .... ..... ...


article-2213559-0CB34623000005DC-881_468x353.jpg


Reffing hell: Ryan Babel tweeted a mock-up
of Howard Webb in a United shirt


 
Last edited by a moderator:
Kama kawaida yako kutafuta visingizio,nani kabebwa leo?
 
...Mkuu Wacha1...Namjua huyu maamuzi yake mengi huwa yamejaa utata. Baada ya HT atawaminya sana Newcastle ili kuhakikisha hawapati nafasi ya angalau kutoa sare.


Judas angekuwa red carded alimwachia ile faulo ya kwanza, ya pili ndio kampa kadi .... ...... ... 50/50 zote kawapa Manyu ... ....... vile vile kawanyima penalty for shirt pulling, stay tuned

 
Duh!!! Refa kafuta goli la wazi kabisa la Newcastle!!!
 
Hivi niulize huyu Papis Demba Cisse mbona amekuwa flop siku hizi maana january mpaka mei alifunga magoli 13 kwenye mechi 13 za EPL whats wrong???
 
Back
Top Bottom