Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuna kitu nahic haukifaham anayetumia mguu wa kulia ni rahic sana kucheza namba 11(winga ya kushoto) na anayetumia mguu wa kushoto ndio anayecheza winga ya kulia (namba 7)

Fatilia mawinga wazur wote wanao perform angalia miguu wanayotumia na upande wanaocheza utapata jibu
 
Propaganda za media VS VAR, tutaona kipi kitasimama (Ninachosema hapa msimu huu kuna VAR, kwa hiyo maamuzi yatakuwa tofauti na msimu uliopita)

Hata hivyo tulishadhulumiwa penati, mfano mechi ya Man na Cristal Palace, na Martial akaangushwa dhahiri lakini hatupewa penati
 
Mkuu sijakupata vizuri hapo
Ktk mashindano yote umeongea kishabiki sana mkuu kwamba magoli yatakuwa yanafungwa na mabek tu au timu pinzani zinajifunga? Kumbuka mbele yupo yeye martial na james chaguo la kwanza
 
Hakuna Gomes, hakuna Chongy, hakuna Greenwood, hakuna Jimy Garner, hakuna madogo wengi tu wa academy kwani United haijawaorodhesha kama wachezaji watakaocheza Europa, kwani kwa kufanya hivyo wangebania wachezaji wengine nafasi

Madogo wa academy wanaruhusiwa kucheza hata wasiporodheshwa, kanuni zinaruhusu

Gomes hayupo kwenye kikosi cha united kitakachocgeza EUROPA
 

Duh! Kumbe mpaka leo unaamini VAR??

Mkuu VAR ni just Television tu haisemi wala haiamui, bali anaeamua ni Refa bila ya kulazimishwa kuwa aifuate VAR

Kwenye WC, CL na La Liga wanatumia VAR kitambo lakini tunashuhudia ananyongwa Mtu Kavkavu!

Hata EPL Luna VAR lakini mpaka sasa Maamuzi ya kiajabuajabu yameshatokea zaidi ya 20.

VAR haiongezi usahihi wowote kwenye Ligi bali inaweza Kukubeba au Kukuminya.

Binafsi sisi VAR imeshatubeba na imeshatukamua.
 
Dirisha la usajili limefungwa akiwa very comfortable.
 
Mkuu nailewa VAR sana, yaani kwa maelezo uliyonipa ni sawa na kumwambia Mwanafunzi wa kidato cha 6 aandike a, e, i, o, u

Nilichoongea hapo, kupitia VAR marefa sasa wana msaada wa technolojia ili kujua u sahihi wa jambo lilitokea uwanjani

Nafahamu kwamba kuamua kutumia VAR ni utashi wa Watu waliopo chumba chenye TV na referees

Lakini hiyo haiondoi ukweli kwamba VAR inapunguza makosa ya kibinadamu kuliko isingekuwepo
 
You never know mkuu

Huwezi jua jinsi anavyoumana na Ed wakiwa huko chamber, lakini kwenye public anaonesha ameridhika

OGS si kama Jose, mzee wa black and white always anaita kijiko, kijiko (not diplomatic)
Dirisha la usajili limefungwa akiwa very comfortable.
 
Mpira haupo hivyo mkuu

Chelsea angeanza na Liverpool (mechi ya super cup alicheza vizuri sana) , tungeweza kuwa na mindset hiyo hiyo, lakini kwa kuwa alianza na sisi tukampa kichapo kizito, tunachukulia poa tu
Huo msako wa WATFORD siku wakikutana na Man united sijui watamfunga ngapi tu
 
Hizi pumba sijui huwa unaziandika ukiwa wapi?
 
Kwa ile midfield yetu Watford wakifanya waliyomfanyia Arsenal second half tutakuwa na wakati mgumu sana
Mpira haupo hivyo mkuu

Chelsea angeanza na Liverpool (mechi ya super cup alicheza vizuri sana) , tungeweza kuwa na mindset hiyo hiyo, lakini kwa kuwa alianza na sisi tukampa kichapo kizito, tunachukulia poa tu
 
Midfielders wa Watford na wa Chelsea au wa Leicester wapi wapo vizuri Mkuu?

Kwamba, mid ya Watford inaweza kufunika mid yetu

Nadhani tunapolalamika kwamba tuna midfielders wabovu ni kwa kuangalia hadhi ya timu yetu. Yaani mid mbovu ukifananisha na City, Liverpool n.k

Sio kwamba ni mid mbovu kiivyo
Kwa ile midfield yetu Watford wakifanya waliyomfanyia Arsenal second half tutakuwa na wakati mgumu sana
 
Tuombe uzima mkuu ..Rashid hafikishi goli 15 msimu huu...

Kila.la.kheri.Chelsea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…