Kuna mechi tumecheza vizuri na hatukupata point 3 na mechi tumecheza vibaya tumepata point 3. Ushindi muhimu Sana huu hasa kuongeza morali ya wachezaji. Tumeshaingia top 4.
Leo nimeikubali Chelsea mko poa.hasa hamna mabishoo.
Ila Man U sijui nini kinatokea kwa wachezaji wa mbele kama Rashford yaani tungepata Mbili dakika za lala salama ule mpira ulienda mbele Rashford yuko nao ila anaslow ananyang'anywa.
Anyway nashukuru kiungo kilitulia na naona ole aliacha ujinga akaingiza Tuanzebe kuliko kawaida yake ya kutoa mtu muhimu na kuingiza katoto kaforward.