Unamapenzi sana na Pogba. Ila nakuhakikishia pogba ndani ya Man U anaweza pata replacement, ni bodi tu ndo haiko kimpirampira.Kwasasa ni kiungo gani Duniani mwenye uwezo wa kumfikia Pogba?
Kuna wachezaji hawana replacement huo ndiyo ukweli..
1) Messi
2) Pogba
3) Hazard
4) Mbappe
5) Kante
Swali zuri sana. Na ni timu ngapi zenye viungo Wa kawaida na bado zinatu outshine na Pogba wetu?Ishu sio Mchezaji wa kumfikia Pogba kiwango..ishu ni kuwa na midfield wanaofanya kazi yao ipasavyo,kuanzia kukaba kucreate magoli na kuipa timu balance..kwani timu zote zinazocheza vizuri zina Pogba kwenye middle zao??
Kumbe tuna mtu pale Sheffield. Hahahaha naona alidaka kwa kuridhisha mechi ya Chelsea ila naamini akija Man U apewe namba ataimprove. Sababu atakuwa amezungukwa na watu wakubwa kama Maguire hivyo atahakikisha anajenga heshima. Kama David James. Maana tulimsema katoka championship ila dogo katusaidia.
Kdb hakujengwa chelseaKumbuka KDB alitokea Chelsea ivyo alijengwa vizuri akiwa Chelsea..
#KTBFFH
Sasa ili mchezaji awe maarufu na watu kuwa na tension nae si lazima awe na uwezo Mkubwa na kuipa mafanikio timu yake? Mf. Juve walicheza na timu ya south Korea. Mashabiki wakajaa uwanjani kwa sababu waliambia CR7 atacheza kwa dk 45 na mwisho Wa siku jamaa hakucheza kabisa. Mashabiki wakaja juu sana kwa hasira na kuanza kuimba jina la Messi. So na wao wanajua kilicho bora kwenye mpirahalafu soko la jezi la United halipo Europe lipo Asia, mimi na wewe tutavaa jezi za mchezaji mwenye kiwango ila wao kuvaa jezi yenye jina la mtu fulani ni fahari kwao......Asia na mpira wapi na wapi???
hata Southampton ya horjberg inamsumbua pogba.Swali zuri sana. Na ni timu ngapi zenye viungo Wa kawaida na bado zinatu outshine na Pogba wetu?
% kubwa ya mashabiki wa Utd wapo Asia, Africana North America.Hivi bado jezi yake inanunuliwa kwa wingi? Basi wazungu nao ni machizi. Uwezo haonyeshi,anaicost timu,watu washaanza kumchukia sasa jezi hizo anauzaje ktk kiwango cha kuwa icon ya timu?
Tumchukue Oblack.Degea ameshuka kiwango sana, na sio msimu huu tu, ila ni kama kwa Misimu 2 iliyopita
Kuna wakati ninaona Romero ni mzuri zaidi. Pia kuna Dean Henderson ambaye kwa sasa yupo Shefield kwa mkopo anaweza kutusaidia
Nimesikia tetesi kwamba United wanammendea Oblack
S
Mkuu sio ya kuna aisha, ila ukimlinganisha na Pogba kwenye dribbling, ni kweli amezidiwa
Lakini hivi dribbling ni kujua sana? Probably hata Lunyamila anamzidi KDB ku dribble
Viungo ambao wanaaminika kuwa ni kati ya viungo bora waliowahi kutokea duniani hawakuwahi kuwa mahiri kwenye dribbling, Scholes, Xavier, Lampard, Gerald, Pirlo n.k.
Kwa sasa kuna akina Maddison, Ericksen, KDB n.k.
Football is not just about dribbling
Manchester ilikuwaje bila De gea?
Unamapenzi sana na Pogba. Ila nakuhakikishia pogba ndani ya Man U anaweza pata replacement, ni bodi tu ndo haiko kimpirampira.
Katika hao makipa uliowataja KingWalikuwa na Van Dar Sar mtu ambaye huwezi kujutia kuwa naye golini! Lakini leo ukiondosha De Gea basi makipa wa kuchezea Timu kama Manchester United ni 4 tu, waliobakia wote ni Vipurepure:-
1) Alisson
2) Ter Steven
3) Oblak
4) Ederson
Je kati ya hao 4 ni nani hapo unayewezea kumng'oa kiboyaboya? Jibu ni Mmoja tu kwa Njia moja tu! Naye ni Kuactivate release clause ya €100m ya Oblak.
Donaduma Gianlugi ni mzuri pia kwa kumuendeleza,anaweza kuja kuwa kipa bora sana.Walikuwa na Van Dar Sar mtu ambaye huwezi kujutia kuwa naye golini! Lakini leo ukiondosha De Gea basi makipa wa kuchezea Timu kama Manchester United ni 4 tu, waliobakia wote ni Vipurepure:-
1) Alisson
2) Ter Steven
3) Oblak
4) Ederson
Je kati ya hao 4 ni nani hapo unayewezea kumng'oa kiboyaboya? Jibu ni Mmoja tu kwa Njia moja tu! Naye ni Kuactivate release clause ya €100m ya Oblak.
Huyu dogo bado ni type ya kina kepa arizabalaga , Alipigiwa promo sana za kutaka kuuzwa bei kubwa na Wakala wake mino raiola ,Donaduma Gianlugi ni mzuri pia kwa kumuendeleza,anaweza kuja kuwa kipa bora sana.
Miongoni mwa wachezaji waliokuwa na uwezo mkubwa wa kudrible na kufunga tela mabeki wawili mpaka watatu katika Ubora wao ni Marc Overmarce, Zola, Giggs na kuna Kipara flani ivi akiitwa Paulo De Canio akichezea West Ham lakini hawakuwahi kuangaliwa kama ni wachezaji hatari zaidi katika ulimwengu wa Soka wa Wakati huo.
Kwahiyo dribbling ni added advantage tu lakini si kigezo cha ubora.
lalanaNitajie ni kiungo gani Duniani anayeweza kumreplace Pogba?
Nitajie ni kiungo gani Duniani anayeweza kumreplace Pogba?
Nitajie ni kiungo gani Duniani anayeweza kumreplace Pogba?