Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Daah misimu saba bila epl na bado tena tusubiri misimu mitatu ya rebuilding bila epl so misimu kumi bila epl.....
Kazi ipo..
Mi namlaumu fergie tu kwa kuacha timu iliyojaa deadwoods players haya mateso yasingetupata......
Mizee ya zamani ovyo sana kagoma kuacha legacy yake asije kuitembelea kocha mwingine ......ubinafsi tu
 
Kuna wachezaji wengi tu wamekuja pale United baada ya Ferg kuondoka lakin hakuna kitu.
Pesa imetoka nyingi tu ya usajili ila hata future imekosa kabisa daily wanavurunda tu.
Ed na wenzie wamekosa kocha mwenye plan nzuri wamebaki kuonja tu na kutimua
 
Para yako ya mwisho ndo ambacho na Mimi na wasiwasi nacho "OGS ataweza ku effect hiyo transformation,".......
Kama ataweza kucotrol performance ya utd (alteast 30pts out 42pts/14games, mwisho mean November) na akaendelea kusurvive hadi January basi atakuwa Kocha ambaye atakaa muda mrefu utd post SAF era.
 
Aliona asiwatafunie wataokuja kila mtu apambane na hali yake
 
Mkuu sio ushamba, sometime mchezaji (hasa wanaochipukia) anapiga hesabu akienda timu kubwa anaweza kutopata namba hivyo kuathiri maendeleo yake
ikumbukwe wakati huo Digne katoka PSG kusugua bench akaenda Barca pia akala mkeka akapata nafasi ya kucheza kwa mkopo Everton na ndipo kiwango chake kilipoonekana
 
sipingani na wewe mkuu ila offensive Digne yupo miles za mbali kuliko Shaw
 
Watu humu wanampenda sana Paul kiasi wanamuona Mctominay ndiyo shida kwa pogba ila mi nnachoamini ni kwamba pogba ndo anamletea shida dogo. Dogo anajitoa sana hadi kuna wakati unaweza jisikia vibaya kwa dogo kama yule kuingiza mwili wake ktk mazingira flani
 
Huyo mchezaji ni kama akina Balotel, Mutu. Tena bora hata mutu alikuwa ni mtukutu ila anakichafua. Kipaji bila jitihada hufiki popote
 
Sasa tumeuza CF bila mbadala sasa c bora hata tungemleta Mauro? Halafu inategemeana na management pia, so naamini huenda angebadilika. Kuna wakati mchezaji anaweza kubadilika tabia kutokana na management. Aweza badilika positively au negatively
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…