Mimi hata sielewi makocha sometimes.Kama ni wazuri kwanini Waliondoshwa kwenye Timu?
Mbona jamaa ulikuwa unampangia sasa ?Usitupangie
Fraser huwa anacheza free role pale Bournemouthhuyu Fraser si winga? kama ndio hatufai kwa sasa, mara nyingi namuonaga akutokea kushoto na United ina Martial, James, Rashford ni wazuri wakitokea kushoto.
namba ya Maddison kuna Mata, Lingard wote hao hawafui dafu kwa huyo mwamba anajua kutengeneza nafasi.
Kuna wale wachezaji wanakuokoa hata kama mnacheza mpira mbovu.
Mou alikuwa nao akajua kuwatumia.
Ole hana hao wachezaji ndio maana kutoa draw ni mafanikio kwake.
Ukiwa na striker mkali akakupa magoli, ule udhaifu hauonekani.
Ila wewe una Rashford anajiangusha mechi nzima, hakupi matokeo. Kila mtu atahoji aina yako ya uchezaji.
mpango mm ninaoMkuu sina mpango kukujibu na wewe usiwe na mpango wa kuni quote
wasted sperms mancity nafunga hadi hadinjiaSasa mimi nimedraw na Sheffield wewe utamfunga?
MAPUMB* FC MTASHIKWA SANA MAKALI*
nitake radhi sina wenzangu mashogaYani wewe Jamaa unawasumbua sana wenzako
Mbona jamaa ulikuwa unampangia sasa ?
Mandizukic anatufaa sanaUkiwa na striker mkali akakupa magoli, ule udhaifu hauonekani
itatuchukua zaidi ya misimu 10 mbele kurudi kwenye fomu ya kugombea makombe makubwa (UEFA, EPL, FA, CARABAO)
Kama Mtendaji mkuu atabaki kuwa Ed
Mkuu unaongea kama vile una enjoy anavyofanya, hivi huo anaoufanya ni usumbufu au uwendawazimuYani wewe Jamaa unawasumbua sana wenzako
Wanaotusumbua humu ni Ollachuga, Penison, Southern....., sometime Aaron, na wewe kiaina na wengineYani wewe Jamaa unawasumbua sana wenzako
Wanaotusumbua humu ni Ollachuga, Penison, Southern....., sometime Aaron, na wewe kiaina na wengine
Sidhani kama hao niliowataja wapo kundi moja na huyo jamaa
Nashangaa hata huo muda wa kum-quote jamaa anautoa wwai wakati watu humu baada ya kubaini ana matatizo ya kisaikolojia yaliyotokana na malezi tumempuuza. |
Yule msimamizi wa mazoezi alishasema anataka kufanya kazi na wanaume na siyo wavulana. Kwa kikosi chenu kwa sasa ambaye anaweza kuanza kwa Mou labda Matic na Maguire, Pogba waligombana. Sioni wengine wa kufanya kazi na Moumechi 16 anapata ushindi mech 3 tu.
Waaaiiiiiiiii Mou arudishiwe tu kibarua chake.
Ameteleza
Amevutiwa na kilichoandikwa na ameona huo ushaur upo na uhai hiv, ka"like" akiwa na akil timamu mana kafungua comments acheki watu wanasemaje kuhus tim.Sijui imekuaje ka like hiyo comment