Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Totally politics
this guy isn't gonna get anywhere November/December awaiting him.
 
Mfumo anaoutumia unahitaji.kuwa na wachezaji.wenye quality kubwa sana ambao yeye hana.

Anapaswa kuwa.na mentality ya kupata matokeo na siyo kujenga style of play tu ambayo haimsaidii chochote kwenye kupata.matokeo.
 
Mfumo anaoutumia unahitaji.kuwa na wachezaji.wenye quality kubwa sana ambao yeye hana.

Anapaswa kuwa.na mentality ya kupata matokeo na siyo kujenga style of play tu ambayo haimsaidii chochote kwenye kupata.matokeo.
Style of play inaonekana

Signing policy, nadhani hata usajili unaona hatujakosea

Akipata Misimu kadhaa ya kusaini wachezaji wake, bila kukurupuka kama tulivyokuwa tunafanya huko nyuma

Kuna kitu kitaonekana, baada ya muda

Japo kitu ambacho atakikosa kwa mashabiki walio wengi ni huo muda
 
Totally politics
this guy isn't gonna get anywhere November/December awaiting him.
He claims himself the team is rebuilt for each match but actually we are sighed every match.
Most of time he expresses optimism as his main shadow to rest on.
As it seeems, this will be a bad season since sir Alex
If this kind of performance will still happen, soon Sucking is around the corner regarding the coming fixture is so tighten
 
sahau kuhusu hilo
 
Ole anafurahisha sana, hiyo statement utafikiri ana kikosi kukuubwa.
Huko kwa majirani zetu, mambo yakiwa magumu unaona Bernardo Silva anapasha. Sisi mambo magumu unaona kinda Greenwood anapasha.😂😂


 
Mou aliforce Sana kubatlle na hiyo timu against overwhelming superior Manchester city, ni halali kusema kuwa wa pili ndo archievement kubwa
 
James Maddison ndiye aina ya mtu tunaemuhitaji pale United kwa sasa
 
afadhali tuuze de gea tumchukue joe hart, tumchukua Shayne Long na pia ikiwezekana tumnunue lallana. Tukiwlta hao timu itatembea kuekea kaskazini
magharibi
 
Huu ukweli nilishakubaliana na muda sana
 
Nauza Man u mbovu pamoja na Chelsea chakavu
Mamaee hatuna timu pale ni kikundi cha kwaya kilee
 
Kwa mnaotazama game ya Juve na Napoli hebu tazameni hilo bench la Juve ndio mtajua ni kiasi gani timu yetu ipo shimoni.

Bench kuna Dybala, Guardado,Rabiot,Mandzukic etc. Bench linatia matumaini kabisa.
 
Kwa mnaotazama game ya Juve na Napoli hebu tazameni hilo bench la Juve ndio mtajua ni kiasi gani timu yetu ipo shimoni.

Bench kuna Dybala, Guardado,Rabiot,Mandzukic etc. Bench linatia matumaini kabisa.
Naangalia hiyo game mkuu

Hawa Juve ni tatizo

Lakini kuna miaka na wao waliyumba sana

Sisi pia dirisha lililofungwa tulipaswa angalau kusajili watu 5 (hao tuliochukua tungeongeza na 2 wengine)

Naona na Koullibally mambo magumu, naona hata Maquire wetu ni mzuri tu, maana Higuan kamgeuza halafu katupia goli. Kuna watu wanadanganyana VVD hapitiki, kuna clip nimeona yule mkongoman anayefundishwa na Mwinyi Zahera, Bolasie alivyomgeuza mtu mzima VVD
 
Eti Greenwood anapasha

Lakini leo almanusura atuokoe
Dogo anajitahidi sana,ni mzuri ila sio wa kumuingiza muda 'maji yamekorogeka' kama Ole anataka kumpa nafasi amuanzishe, Rashford acheze pembeni.

Ila ndio hivyo,sio mtu wa kumtegemea akabadili matokeo kama ilivyo kwa majirani zetu. Ole sub zake ni kama anafanyaga kukamilisha ratiba tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…