Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Njoo kule jukwaa la Arsenal ulete Table tena tunakusubiriUkimuuza Pogba umekufa..hapo katikati, jamaa linajua sana kumiliki mpira na kupeleka timu mbele. Ukitaka kujua umuhimu wa Pogba angalia akipoteza mpira inavyokuwa hatari kweye lango letu. Hakuna mwingine wa ku-block. Ile mechi ya CP angalia alivyopoteza tukapigwa.
Lukaku ameuzwa apewe yeye nafasi.
Inasikitisha sana.
Ole kama anataka wachezaji wanaocheza kwa ajili ya timu angechukua mashabiki wakafanya kazi hiyo. Mpuuzi sana huyu jamaa.Nasemaje lukaku ni hovyo ila hamna wa kumfananisha nae kwenye hii timu kocha ubaguzi una mponza kwani manchester city wale wachezaj walikuwa wanaipenda? Siku hizi mpira mpesa mepanzi yao na wakina scholes kwa sasa hamna
Na bado..lukaķu atakumbukwa sana..hamna recognized striker pale...Nasemaje lukaku ni hovyo ila hamna wa kumfananisha nae kwenye hii timu kocha ubaguzi una mponza kwani manchester city wale wachezaj walikuwa wanaipenda? Siku hizi mpira mpesa mepanzi yao na wakina scholes kwa sasa hamna
pimbi mno huyo dogo na ivi ana mshahara mrefuRashford anajiona CR7.
Very basic player.
Muuzeni muone shughuļiPobga tulipigwa mkuu
Amna team apayale yale ya season iliyo pita
Hapana mkuu,msimu uliopita afadhali tulikuwa na Herrera katikati. Nilisema na narudia tena kusema, kwa aina hii ya timu hasa upande wa kiungo cha Pogba na Scott hata hawa akina Harry na Bissaka tutaanza kusema ni wabovu. Tukumbuke hao akina Jones na Smalling kipindi cha Sir Alex walikuwa mabeki wetu na tulibeba ndoo. |
Hahahahaahahaahhahh!
Mazee naona kila anaewakalia sawa mnatupia milawama tu. Hahaahahahaahhaah
Alaumiweeeeeee