radika JF-Expert Member Joined Jul 15, 2014 Posts 20,450 Reaction score 32,290 Aug 31, 2019 #116,021 Penison said: Mkuu jaribu kutumia lugha ya ustarabu kidogo sisi wote huwa tunatania sana humu lakini huwa hatutumii lugha hizi. Click to expand... Watu wa hivyo huwa wanakuaga na id zaidi ya moja kwa hiyo wanaibuka na id tofaut tofaut
Penison said: Mkuu jaribu kutumia lugha ya ustarabu kidogo sisi wote huwa tunatania sana humu lakini huwa hatutumii lugha hizi. Click to expand... Watu wa hivyo huwa wanakuaga na id zaidi ya moja kwa hiyo wanaibuka na id tofaut tofaut
Kanungila Karim JF-Expert Member Joined Apr 29, 2016 Posts 20,746 Reaction score 25,638 Aug 31, 2019 #116,022 ARV said: Martiaaaal aondoke kabisa kwenye hiyo nafasi. Amwachie James, hawezi kufunga goli la kiwango hicho. Click to expand...
ARV said: Martiaaaal aondoke kabisa kwenye hiyo nafasi. Amwachie James, hawezi kufunga goli la kiwango hicho. Click to expand...
Kanungila Karim JF-Expert Member Joined Apr 29, 2016 Posts 20,746 Reaction score 25,638 Aug 31, 2019 #116,023 monta said: Daniel James my mind yelled, “shoot!” And that's what happened, 10th min counter-offense concerning the Pog, Bissaka McTominay, Rash ..to James brilliant moves! 1:0 @ St Mary‘s. Click to expand...
monta said: Daniel James my mind yelled, “shoot!” And that's what happened, 10th min counter-offense concerning the Pog, Bissaka McTominay, Rash ..to James brilliant moves! 1:0 @ St Mary‘s. Click to expand...
radika JF-Expert Member Joined Jul 15, 2014 Posts 20,450 Reaction score 32,290 Aug 31, 2019 #116,024 Penison said: Mkuu Radika umekata tamaa kabisa na timu yako dah. Click to expand... Hahaha balaa mkuu
Penison said: Mkuu Radika umekata tamaa kabisa na timu yako dah. Click to expand... Hahaha balaa mkuu
Volatility JF-Expert Member Joined Aug 22, 2018 Posts 3,935 Reaction score 7,524 Aug 31, 2019 #116,025 Battle Of Isandlwana said: Click to expand... Mkuu nitupie link nicheki na mimi niko pori sana huku
Volatility JF-Expert Member Joined Aug 22, 2018 Posts 3,935 Reaction score 7,524 Aug 31, 2019 #116,026 radika said: Rashford leo hovyo sana labda apate zali Click to expand... That guy is overrated
The Humble Dreamer JF-Expert Member Joined Oct 12, 2015 Posts 8,011 Reaction score 11,429 Aug 31, 2019 #116,027 Haya maamuz ya Dj, Martial au Rash hana..pale lazima wangepiga chenga kwanza atafute wa kumpa pasi, mpira upotee
Haya maamuz ya Dj, Martial au Rash hana..pale lazima wangepiga chenga kwanza atafute wa kumpa pasi, mpira upotee
radika JF-Expert Member Joined Jul 15, 2014 Posts 20,450 Reaction score 32,290 Aug 31, 2019 #116,028 Volatility said: That guy is overrated Click to expand... Hovyo sana yeye na perreira kama tunacheza 9 hamna watu humo
Volatility said: That guy is overrated Click to expand... Hovyo sana yeye na perreira kama tunacheza 9 hamna watu humo
Bavaria JF-Expert Member Joined Jun 14, 2011 Posts 53,092 Reaction score 53,568 Aug 31, 2019 #116,029 Pogba wa Juventus si huyu tunaemuona.
Bavaria JF-Expert Member Joined Jun 14, 2011 Posts 53,092 Reaction score 53,568 Aug 31, 2019 #116,030 Rashford anajiona CR7. Very basic player.
Janjaweed JF-Expert Member Joined Jan 20, 2010 Posts 13,152 Reaction score 10,681 Aug 31, 2019 #116,031 Bavaria said: Pogba wa Juventus si huyu tunaemuona. Click to expand... Yule kaenda wapi? Kwani inaruhusiwa mtu kubadilishiwa?
Bavaria said: Pogba wa Juventus si huyu tunaemuona. Click to expand... Yule kaenda wapi? Kwani inaruhusiwa mtu kubadilishiwa?
Wild sniper JF-Expert Member Joined Apr 3, 2015 Posts 4,426 Reaction score 8,726 Aug 31, 2019 #116,032 Bavaria said: Pogba wa Juventus si huyu tunaemuona. Click to expand... Nadhani jamaa anafanya kwa vitendo kuwa hataki kuwa hapa maana anafanya makusudi tu humu ndani.
Bavaria said: Pogba wa Juventus si huyu tunaemuona. Click to expand... Nadhani jamaa anafanya kwa vitendo kuwa hataki kuwa hapa maana anafanya makusudi tu humu ndani.
mc gregor JF-Expert Member Joined Mar 17, 2017 Posts 1,121 Reaction score 2,194 Aug 31, 2019 #116,033 Pogba anazingua kinoma anapoteza mipira sehemu hatari
Mc cane JF-Expert Member Joined May 18, 2018 Posts 5,569 Reaction score 10,527 Aug 31, 2019 #116,034 Game ikiisha kuna watu wataendelea kusema kwamba wachezaji wa United wanamwangusha Pogba Pereira hayupo vizuri, Lingard should come in for him
Game ikiisha kuna watu wataendelea kusema kwamba wachezaji wa United wanamwangusha Pogba Pereira hayupo vizuri, Lingard should come in for him
Volatility JF-Expert Member Joined Aug 22, 2018 Posts 3,935 Reaction score 7,524 Aug 31, 2019 #116,035 radika said: Hovyo sana yeye na perreira kama tunacheza 9 hamna watu humo Click to expand... kwa hiyo, chong amureplace perreira?
radika said: Hovyo sana yeye na perreira kama tunacheza 9 hamna watu humo Click to expand... kwa hiyo, chong amureplace perreira?
Volatility JF-Expert Member Joined Aug 22, 2018 Posts 3,935 Reaction score 7,524 Aug 31, 2019 #116,036 Cash Money Forever said: Pogba auzwe dirisha la January. Moyo wake haupo tena Man u. Anacheza ili mradi dk zisonge Click to expand... sad
Cash Money Forever said: Pogba auzwe dirisha la January. Moyo wake haupo tena Man u. Anacheza ili mradi dk zisonge Click to expand... sad
Volatility JF-Expert Member Joined Aug 22, 2018 Posts 3,935 Reaction score 7,524 Aug 31, 2019 #116,037 Mc cane said: Game ikiisha kuna watu wataendelea kusema kwamba wachezaji wa United wanamwangusha Pogba Pereira hayupo vizuri, Lingard should come in for him Click to expand... acha lingard akae bench kwanza
Mc cane said: Game ikiisha kuna watu wataendelea kusema kwamba wachezaji wa United wanamwangusha Pogba Pereira hayupo vizuri, Lingard should come in for him Click to expand... acha lingard akae bench kwanza
Alexander Lukashenko JF-Expert Member Joined Sep 9, 2017 Posts 4,280 Reaction score 10,052 Aug 31, 2019 #116,038 Huyu pogba anataka kutuuza na leo
Volatility JF-Expert Member Joined Aug 22, 2018 Posts 3,935 Reaction score 7,524 Aug 31, 2019 #116,039 Kitendo cha kumuuza Lukaku bila replacement kumewaaribu martial na rashidi. inabidi january kifanyike kitu
Kitendo cha kumuuza Lukaku bila replacement kumewaaribu martial na rashidi. inabidi january kifanyike kitu
moreta JF-Expert Member Joined Oct 11, 2015 Posts 296 Reaction score 572 Aug 31, 2019 #116,040 Mc cane said: Game ikiisha kuna watu wataendelea kusema kwamba wachezaji wa United wanamwangusha Pogba Pereira hayupo vizuri, Lingard should come in for him Click to expand... Bora aendelee Andres kucheza kuliko kumuingiza huyo J-Lingz
Mc cane said: Game ikiisha kuna watu wataendelea kusema kwamba wachezaji wa United wanamwangusha Pogba Pereira hayupo vizuri, Lingard should come in for him Click to expand... Bora aendelee Andres kucheza kuliko kumuingiza huyo J-Lingz