Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Bila kusahau Kuna Var ambayo wanatuaminisha ingesolve haya mambo, Mfano Kama hii Cahil Ni last man yupo yeye na martial tu, martial anaenda kufunga akamchezea foul, hii Ni clear red card Sheria IPO wazi na vidic ashakula red za aina hii nyingi against Torres Ila refa sijui katoa maamuzi yake wapi na kutoa yellow.

 
Virgil Van Dijk was the most expensive defender last year and won the UEFA mens player of the year award!

Over to you Harry Maguire.
I see angle ya mshangiliaji wa mpira. Hakuna shabiki wa mpira atacomment hivi.
 
Europa League sucks,,bigtime

Sijui ni lini tutarudi level zetu..
 
Kwa Namna ambavyo Lukaku, Snchezi, Smallling, Darmian, Herreira Fellaini ambavyo wamefanikiwa kuondoka na kuingia kwa Bissaka, Maguire, Chong Tunzebe and Mensah plus other academy Players tunahitaji two years ili kuja kuwa na team ya ushindani.
Alichofanya Ole ni sahihi as long as Club na Management hawatakuwa na haraka ya matokeo, Ameanza kuitengeneza team Upya kwa aina ya Mchezo na Falsafa ya Manchester United.
Kwa kikosi kilichobakia United the highest paid player ni Pogba so tusitegemee tena kuona mchezaj atakaesajiliwa kuzid hapo kwa sasa.
Tukubaliane na matokeo ya msimu huu ila hiki kizaz cha kina Bissaka Maguire Pogba James Chong and Rashford in the next three seasons kitakuwa Bora na cha ushindani sana.
 
Nilichogundua solskjaer kamtoa sanchez kinguvu jezi namba 7 iwe wazi ipate mtu sahihi hii inaitwa safishasafisha kwa sababu tunaupungufu wa ushambuliz lakin bado kakomaa jamaa asepe
Hajamtoa kinguvu Sanchez hastahili kubaki epl his time is over
 
Nilichogundua solskjaer kamtoa sanchez kinguvu jezi namba 7 iwe wazi ipate mtu sahihi hii inaitwa safishasafisha kwa sababu tunaupungufu wa ushambuliz lakin bado kakomaa jamaa asepe
Kwahiyo huyo No saba anakuja lini??
 
So Smalling is a deadwood but Phil Jones is not right?
Ninaamini kwa mabeki waliokuwepo, Smalling ni beki namba 4 kwa ubora baada ya Maquire, Lindelof na Axel. Baily majeruhi yanam cost na hana consistence, huwezi kumtegemea.

Nadhani anaondoka yeye kwa kuwa hao wengine wamekosa wanunuaji
 
So Smalling is a deadwood but Phil Jones is not right?
Huyo Jones umeshamuona hata benchi? Tuanzebe Ni wa tatu, ikiwa lindelof ama Maguire ameumia Dogo ndio atachukua nafasi. Na ole ameshasema Rojo hauzwi, inamaana pengine Jones akawa hata Ni wa 5 kwenye chaguzi.
 
Kwakuwa Shaw ameumia ili kuondokana na Young,hakuna haja ya kubadili mfumo timu ikacheza na walinzi watatu nyuma?

Nawaza tu wakuu.
 
Ninaamini kwa mabeki waliokuwepo, Smalling ni beki namba 4 kwa ubora baada ya Maquire, Lindelof na Axel. Baily majeruhi yanam cost na hana consistence, huwezi kumtegemea.

Nadhani anaondoka yeye kwa kuwa hao wengine wamekosa wanunuaji
Walimuongeza mkataba Jones wakaacha kumuongeza Smalling ambaye hana injury record lakini pia ni experienced kuliko huyo Axel na Baily
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…