Mechi saa ngapi?Crystal palace wajiandae kusaikolojia maana watapigwa vibaya mno. My predictions
POGBOOM anakua man of the match halafu kuna harufu ya hattrick kama naona kutoka kwa martial au Rashid.
Greenwood akicheza lazma atupie goli.
Tunawapiga hawa ndege goli sio chini ya Nne.
Na hapo umeongelea EPL tu, bado FA, Carling n.k26/13 maana yake Fergie alikuwa akichukua kombe kila baada ya msimu ukiweka average.
Hii kama siyo dominance ni nini ?
Mkuu premier league imeanza 1992, hivyo Fergie amefundisha miaka 20 ya premier league na kubeba makombe 13.26/13 maana yake Fergie alikuwa akichukua kombe kila baada ya msimu ukiweka average.
Hii kama siyo dominance ni nini ?
Na wewe nakuuliza swali Kama nilimuuliza mwenzako juu kitu gani kafanya pep ambacho kocha mwengine yoyote ameshindwa kufanya?
Nimeishia kusoma uliposema Pep anakuza vipaji
Doh mkuu umeniacha Hapo Kila msimu anafika nusu.Pep anashinda makombe,pep anafundisha mpira ambao watu wa mpira wanapenda kuutizama T-T
Anawafanya Wachezaji wa kawaida kuwa world class
Pep katika kila msimu anatakwimu nzuri za kucheza uefa semi-final
Umesema pep anafanikiwa Kwasababu anapewa back up ya kusajili Wachezaji wanaofiti mfumo wake?
Je makocha wengine hawapewi back up Au ndio makocha wengi hawajitambui nini wanataka
Let's give man credit he is the best hate him or not
Hata Bayern hakufanya vizuri sana uefa.Doh mkuu umeniacha Hapo Kila msimu anafika nusu.
Pep hajawahi fika nusu fainali na Man city, Ni Pelegrini peke yake ndio ana record hio city.
Msimu wa kwanza katolewa 16 Bora na monaco
Msimu wa pili robo na Liverpool
Msimu wa tatu robo na Spurs.
Doh mkuu umeniacha Hapo Kila msimu anafika nusu.
Pep hajawahi fika nusu fainali na Man city, Ni Pelegrini peke yake ndio ana record hio city.
Msimu wa kwanza katolewa 16 Bora na monaco
Msimu wa pili robo na Liverpool
Msimu wa tatu robo na Spurs.
Mkuu Mimi namkubali pep ni kocha mzuri, na hata wenzangu humu pia wanakubali, tunachokataa sisi Ni title ya best ever ambayo watu wanampa,Mkuu nimezungumzia collectively nimekwambia anatakwimu nzuri za uefa za kucheza nusu fainali sijszungumizia man city pekee
Hivi kitu gani kinakufanya umuone Pep ni kocha wa kawaida?
Mimi sikatai huyu kocha wengi tulimchukia baada ya kutuadhibu mara mbili fainali
Nilimchukia sana nilihisi anaichukia sana Manchester United Kwasababu walicheza na sisi kama wanaugomvi
Ila baadae nili omit zile negative opinions about pep the man is genious
Nilitaman sana siku moya aje old Trafford ila ndio hivyo haitawazekana tena
Yah pale baryen ilifika kipind kina Karl Henze ,Uri hoanes , wakashindwa kumuelewa, wakaona hana jipya,maana kuna wachezaji walishindwa kupafom chin ya pep, na waliletwa kwa gharama kubwa.Issue ya usajili man City tumeshaizungumzia Sana Humu Ni Mambo ya Kina Txiki Begiristain ambaye alikuwa anasajili wachezaji wanaofit mfumo wa tiki taka toka hata pep hajakuja. Man city wameanza ku poach viongozi wa Barcelona hata kabla ya pep.
Mbona Bayern pep alipokuwa Hana Dof wa Tikitaka usajili wake ilikuwa Ni wa kawaida tu? Majina makubwa mengi na wengine hata hawakufit mfano Mario Gotze, pep Reina, Mehdi Benatia, Arturo Vidal Etc, wote walikuwa tayari Ni established super stars wanatakiwa na timu nyingi akawasajili yeye na wakaflop.
Na wewe nakuuliza swali Kama nilimuuliza mwenzako juu kitu gani kafanya pep ambacho kocha mwengine yoyote ameshindwa kufanya?
Hili sio suala la MTAZAMO, Hili ni suala la FACTNi mtazamo wako chief keep on what you stand for
Sikulazimishi
My starting Lineup vs Crystal Palace
De Gea
Bissaka - Lindelof - Maguire - Shaw
Pogba - McTominay
James - Lingard - Rashford
Martial
Sioni sababu ya sisi kukosa point tatu na perfomance nzuri..GGMU
My starting Lineup vs Crystal Palace
De Gea
Bissaka Lindelof Maguire Shaw
Pogba McTominay
James Lingard Rashford
Martial
Sioni sababu ya sisi kukosa point tatu na perfomance nzuri..GGMU
pamoja
Kama huna hoja ya kujadili tulia mkuu wengine waendelee.Huo mjadala wa Pep na Ferg yatosha sasa tujadili team yetuuu
Hilo swali ulilomuuliza umemfukuza jumla,hawezi kurudi tena.Issue ya usajili man City tumeshaizungumzia Sana Humu Ni Mambo ya Kina Txiki Begiristain ambaye alikuwa anasajili wachezaji wanaofit mfumo wa tiki taka toka hata pep hajakuja. Man city wameanza ku poach viongozi wa Barcelona hata kabla ya pep.
Mbona Bayern pep alipokuwa Hana Dof wa Tikitaka usajili wake ilikuwa Ni wa kawaida tu? Majina makubwa mengi na wengine hata hawakufit mfano Mario Gotze, pep Reina, Mehdi Benatia, Arturo Vidal Etc, wote walikuwa tayari Ni established super stars wanatakiwa na timu nyingi akawasajili yeye na wakaflop.
Na wewe nakuuliza swali Kama nilimuuliza mwenzako juu kitu gani kafanya pep ambacho kocha mwengine yoyote ameshindwa kufanya?
Kuhamasishaje? Kwa kuongea hadharani kwamba anataka kwenda Madrid? Kuongea hadharani kuwa anahitaji changamoto mahali pengine?Watu sijui mnamponda vipi pogba..nadhani media nazo zinachangia kumfanya jamaa aonekane kama kijana mtovu wa nidhamu kumbe sio kweli....inasemekana kati ya wachezaji wapambanaji sana na wahamasishaji wa wachezaji wengine pogba mmoja wao...akiondoka yule timu yetu itakua imekwisha