SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,803
- 25,444
We naye acha kupoteza nguvu zako bure. Huyu amfumue City? Au Mbeya City ndo unayoiongelea... kwasbb amekufumua ww basi wadhani kila mtu atafumuliwa...Sawa mkuu ni kweli muna timu nzuri tu cjui Ole anakwamia wap sasa. Pangeni kikosi cha maana mumfumue Liverpool, Man city ..Arsenal najua ni uhakika lazima mushinde ...
Come one United..
Kila la kheri Chelsea
Huyo Leicester ashukuru VAR, bila hivyo angepigwa na Wolves nyumbani kwakeSasa mkuu Wolves mimi nitapiga nje ndani ..uhakika wa kubeba kama sio point sita basi ni nne ..kama uyo umemshindwa ukikutana na Leicester ci mutapata tabu sana. Japo Muna timu nzuri ya kuweza kuifunga Liverpool au hata Man city goli nyingi tu achilia mali uhakika wa kumfunga arsenal..lakini naona Ole anakwama ..yani bado hajui fist XI yake ni ipi. Na hii itampa tabu sana..
Kila la kheri Chelsea
Kwakweli. Hili halihitaji hata juzuu kuliona. Lingard kuna muda ni kama headless chicken. Huwezi mfananisha na Fletcher ama Park kabisa. Mbali na mbio, nothing to offer.Una mapenzi mabaya mkuu yaani lingard aungie kwenye hao miamba?
Umesoma comments zangu za chini, au unataka kuanzisha ligi tuNi sheria ya offside mda mrefu tu.
Sasa kama Unataka kujifunza jifunze ,ila kama unaleta ushabiki ambao hautaki kujifunza Sawa pia.
Ila hapa tuko kujifunza
Man U mkuu usiwa andareti kiivyo wanaeza mkazia tu City akachezea kichapo ..hii man u ikitulia fresh wanaeza beba ata EPL mkuu..We naye acha kupoteza nguvu zako bure. Huyu amfumue City? Au Mbeya City ndo unayoiongelea... kwasbb amekufumua ww basi wadhani kila mtu atafumuliwa...
Mzee baba, kukututusa wewe 4 bila kumekuchanganya kabisa naona. Labda City abanwe na VAR la sivyo hamna hapa timu ya kuizuia City.Man U mkuu usiwa andareti kiivyo wanaeza mkazia tu City akachezea kichapo ..hii man u ikitulia fresh wanaeza beba ata EPL mkuu..
Kila la kheri Chelsea
Angalia attachment za statistics za mechi ya Jana na ya msimu uliopita,kitu ambacho jana tuliwazidi ukilinganisha na msimu uliopita ni "possession" na defence kuwa imara but sio kutengeneza nafasiHivi kutengeneza nafasi ni sawa na shots on target. Mnaweza mkatengeneza nafasi hata 10 lakini zote zikawa shots off target. Kimsingi tumetengeneza nafasi nyingi jana
Pili una uhakika jana United alipiga shots on target 2? Kwa haraka haraka kuna goli la Martial, Penati ya Pogba, shuti la Shaw..... Zipo 3 jumla. Nikienda Google nadhani kuna mifano mingi.
Unauliza kuhusu improvement kati mwaka jana na mechi ya jana. Kwanza kumiliki tu tuna position kubwa kuliko mwaka jana, mwaka jana tumepigwa kwa kuzidiwa, mwaka huu tume draw kwa kuwazidi sana tu
Kama hujaona improvement nadhani mechi uliyokuwa unaangalia wewe na mimi ni tofauti
We naye acha kupoteza nguvu zako bure. Huyu amfumue City? Au Mbeya City ndo unayoiongelea... kwasbb amekufumua ww basi wadhani kila mtu atafumuliwa...
Kwa hiyo stats muhimu kuliko zote, ya goli 1-1 ambayo imetupa point hujaiona umeona stats nyingine ambazo ni meaninglessInawezekana uko Sawa tumeangalia mechi tofauti but to make fair assessment inabidi kuweka emotion pembeni
Jana United walikuwa na 2 shots on target Ile ya Shaw haikuwa shot on target sababu alikuwa offside na refa alishapuliza filimbi
Angalia attachment za statistics za mechi ya Jana na ya msimu uliopita,kitu ambacho jana tuliwazidi ukilinganisha na msimu uliopita ni "possession" na defence kuwa imara but sio kutengeneza nafasi
Kutengeneza nafasi maana yake ni nafasi za kufunga magoli jana hatuku-create big chance sana ukilinganisha na msimu uliopita
One of reason ku-totengeneza nafasi ni kuchezesha 2 midfielder so Pogba akawa anacheza kama DM while McTominay sio creative, game against Chelsea Pogba alikuwa free alicheza mbele ya McTominay na Perreira na ndio ali-create chance nyingi
Baada ya kuona hizi mechi 2 United ime-improve sana kwenye defence (Game zote Maquire & Bissaka ) ndio wachezaji waliocheza vizuri kwenye defence but matatizo ni yale yale katikati na ushambuliajiView attachment 1185893View attachment 1185894
Halafu mimi original comment yangu ambayo wewe unaipinga nimesema tume create chances nyingi, naona wewe umekuja na kigezo cha "the big created chances". Tume create nafasi 6 je hizo sio nafasi nyingi.Inawezekana uko Sawa tumeangalia mechi tofauti but to make fair assessment inabidi kuweka emotion pembeni
Jana United walikuwa na 2 shots on target Ile ya Shaw haikuwa shot on target sababu alikuwa offside na refa alishapuliza filimbi
Angalia attachment za statistics za mechi ya Jana na ya msimu uliopita,kitu ambacho jana tuliwazidi ukilinganisha na msimu uliopita ni "possession" na defence kuwa imara but sio kutengeneza nafasi
Kutengeneza nafasi maana yake ni nafasi za kufunga magoli jana hatuku-create big chance sana ukilinganisha na msimu uliopita
One of reason ku-totengeneza nafasi ni kuchezesha 2 midfielder so Pogba akawa anacheza kama DM while McTominay sio creative, game against Chelsea Pogba alikuwa free alicheza mbele ya McTominay na Perreira na ndio ali-create chance nyingi
Baada ya kuona hizi mechi 2 United ime-improve sana kwenye defence (Game zote Maquire & Bissaka ) ndio wachezaji waliocheza vizuri kwenye defence but matatizo ni yale yale katikati na ushambuliajiView attachment 1185893View attachment 1185894
Pia ulisema hatuja improve, halafu kwenye maelezo umekubali tume improve possession wiseInawezekana uko Sawa tumeangalia mechi tofauti but to make fair assessment inabidi kuweka emotion pembeni
Jana United walikuwa na 2 shots on target Ile ya Shaw haikuwa shot on target sababu alikuwa offside na refa alishapuliza filimbi
Angalia attachment za statistics za mechi ya Jana na ya msimu uliopita,kitu ambacho jana tuliwazidi ukilinganisha na msimu uliopita ni "possession" na defence kuwa imara but sio kutengeneza nafasi
Kutengeneza nafasi maana yake ni nafasi za kufunga magoli jana hatuku-create big chance sana ukilinganisha na msimu uliopita
One of reason ku-totengeneza nafasi ni kuchezesha 2 midfielder so Pogba akawa anacheza kama DM while McTominay sio creative, game against Chelsea Pogba alikuwa free alicheza mbele ya McTominay na Perreira na ndio ali-create chance nyingi
Baada ya kuona hizi mechi 2 United ime-improve sana kwenye defence (Game zote Maquire & Bissaka ) ndio wachezaji waliocheza vizuri kwenye defence but matatizo ni yale yale katikati na ushambuliajiView attachment 1185893View attachment 1185894
Hata mm niliwaambia humu lukaku ni bonge LA mchezaji, hawa kina rashid watawapa sare nyingi tu, kuna mech watakuwa hawapenyi.,maana zinakuwa zinahitaji kina lukaku, halafu ww muda huo una martialNasema iviii "Dah Lukaku bonge la straika mutajuta sana"
Naongelea kutengeneza nafasi nyingi as you said on your first post,United haiku-tengeneza nafasi nyingi mechi jana ukilinganisha na msimu uliopita na tulikuwa na only 2 shots on target,Kwa hiyo stats muhimu kuliko zote, ya goli 1-1 ambayo imetupa point hujaiona umeona stats nyingine ambazo ni meaningless
Na droo ya 1-1 ndiyo iliyomfungulia kifungo au ban Ollachuga ,ilikuwa ajitokeze wiki ijayoMashabiki acha kulalamika. Man U iliyocheza jana ndo niliyokuwa nataka huoni hata ollachuga OC first half alikuwa anachungulia yaani Kazi kazi, wolves shots on target chache sana walipata bahati maana ule mpira ungekuwa usawa wa kuingia bila kugonga mwamba De gea angefanya yake.
Inshu ya pogba kumbuka penati haina ubabe!
Kwangu mimi niliona timu iko poaa kazi kazi dk 90. Ila huyu Shaw Bana angetuliza na kufumua ili tupate usingizi vizuri.
I was happy na mchomoko wa David James, Kazi kazi Wan Bissaka. Chuma Lindelof na Maguire safi sana yaani hawaingii kupitia katikati bali pembeni ila mara nyingi upande wa wan Bissaka mpinzani hafui dafu.
Hata kama tumedroo i am happy maana nilichoka kuona magarasa ya young, smallling, Jones yanaleta mpira golini bila sababu.
Kuhusu martial naona dogo anabadilika taratibu goli safi. Kukosa nafasi duh mpira unadunda.
All in all! Mpira uko poah tukiendeleza soka hilo hilo daily huku forward ikisahihisha makosa Guardiola na Klopp watakuwa na presha.
GGMu
Watu wanafikiriaga VAR ni robotiTuweni makini na tunachoangalia! VAR haiamui chochote kwenye mpira bali ni TV tu ambayo Referees ana hiari yake kukubali au kukataa alichokipreview kwenye VAR.
Kwahiyo hali iko palepale kuwa Referee ndiye mwamuzi wa mwisho, VAR sio mwamuzi bali inaonesha kilichotokea tu.
Na droo ya 1-1 ndiyo iliyomfungulia kifungo au ban Ollachuga ,ilikuwa ajitokeze wiki ijayo
Mzee baba, kukututusa wewe 4 bila kumekuchanganya kabisa naona. Labda City abanwe na VAR la sivyo hamna hapa timu ya kuizuia City.
Na droo ya 1-1 ndiyo iliyomfungulia kifungo au ban Ollachuga ,ilikuwa ajitokeze wiki ijayo