Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Unanifananisha ,aisee Mimi nilisema mapema Leo man u anashinda 3+ ,na nikawaambia wapiga zumari wa Chelsea wajiandae kisaikolojia ,maana hakuna asiyekijua kikosi cha Chelsea msimu huu, hata cha Everton au Watford ni vizuri .Ww na mwenzio @ollachuga mlisema mechi ya leo man u analala. Kuwa man hawana kikos imara kuliko chelsea. Leo man u hao hao wabov wamewanywa chelsea... unadai kipimo halisi ni wolves ? Hiv mnatosheka nyie..
Mm nasema kipimo halis ni man city na liverpool
Ni injury au washapoteza namba tena?Nimefurahi sana leo kutokuwaona Jones,Smalling na Rojo kwenye bench..
HahaDah kumbe ww dogo kabisa ,aisee 2007 upo drs la 5? Wakati mm 2007 nipo form 2 ,nisalimie bas
Mie 2007 Nafundisha Secondary then 2008 nikaacha. Hapo chuo nilimaliza 2005.Dah kumbe ww dogo kabisa ,aisee 2007 upo drs la 5? Wakati mm 2007 nipo form 2 ,nisalimie bas
Sijajua exactly nini shida..nilitegemea either Smalling awe benchi but mtu mzima Tuanzebe akatisha paleNi injury au washapoteza namba tena?
Ww kaka yangu kabisaMie 2007 Nafundisha Secondary then 2008 nikaacha. Hapo chuo nilimaliza 2005.
Vip.
Washapoteza nambaNi injury au washapoteza namba tena?
Ndio maana niliacha kuingia huku. Yaani Wolves ndio kipimo cha timu kama Man Utd?! SMHSema Leo mmekutana na mgonjwa dah ,
Kipimo kizuri mech yenu na wolves , leo haikuwa kipimo kizuri ,Chelsea msimu huu hata hao watabir wanaoipa nafas top 4 sijui wanavuta bangi ya wapi
Straiker jirud , Abraham beki Zuma & Christensen sub tomori ,
Msije mkaikataa hii timu badae
Muingereza, mzuri wa kawida ila overrated kama kawaida.Labda humjui, ni huyo hapo jamaa. Unataka kumlinganisha na Mustafi?View attachment 1178638
Uzuri haka kawimbo huwa kapo kila msimu..
WATU WAANZA NA MUNKARI TUNAVYOZIDI KWENDA UKINGONI, wanaanza Ole sio kochä.
Nawaambia hivi, ikifika decemba kuelekea mwakani MTAMKUMBUKA hata Lukaku...
Scott uwezo wa kukaba yuko nyuma sana ukicompare na viungo wengine wengi , ingemaanisha angesajiliwa kiungo mwenye uwezo mkubwa wa kukaba ili kubadilishana na MaticKwa sasa ni mara mia ukawa na scott kwenye first eleven kuliko matic.
Matic sikuhizi yuko kwenye slow motion mode.
Nilivyoshabikia nilionekana Chizi!Ninavyoipenda Man U acha tu!.
Wakuu nilianza kushabikia Man U 2007 just nikiwa Class🖐️
Enzi za utotoni! Nilianza kucheki mechi 2009 dah!
Pamoja sana United fans
Uzuri haka kawimbo huwa kapo kila msimu..
WATU WAANZA NA MUNKARI TUNAVYOZIDI KWENDA UKINGONI, wanaanza Ole sio kochä.
Nawaambia hivi, ikifika decemba kuelekea mwakani MTAMKUMBUKA hata Lukaku...
Bila kificho.. ROJO, SMALLING AU JONES mmoja wao angecheza jana pale nyuma kungekuwa na Boko nyingi sana.Nimefurahi sana leo kutokuwaona Jones,Smalling na Rojo kwenye bench..
Hiyo "nyuma sana" umezidisha. Scot ni mwepesi kulinganisha na Matic. Mm nna confidence na midfielder trios ya Pogba, Scott na Pereira. Wataimpruvu tuuScott uwezo wa kukaba yuko nyuma sana ukicompare na viungo wengine wengi , ingemaanisha angesajiliwa kiungo mwenye uwezo mkubwa wa kukaba ili kubadilishana na Matic