Dah man utd tuna maneno,sioni watu wakiongelea mapungufu yetu eneo la kati. Hii chelshit sio kikosi cha kwanza kwa nijuavyo mimi.
Bado tulihitaji kuwa na Bruno. Daemusin kama niaminivyo mimi,kipimo chetu kamili ni mbweha.
GGMU
Ukiangalia kipindi Cha Fergie sio lazima uwe na kikosi Bora kuchukua ubingwa, just tusipoteze mechi kizembe na watoto wadogo. Hata hao wakubwa wakitufunga au kugawana point tutarank juu.
Anafanya kazi kubwa sana mkuu ila bado kuna mambo anatakiwa kuyaangalia,amepoteza mipira mingi sana kiutani tu. Kwa timu nzuri ile mipira aliyokuwa anapoteza ingeweza kuleta shida.
Niliwaambia tuko vizuri ila mkaona maneno yangu yanasadifu Jina langu. Kwa kweli tumejitahidi mno natamani hii morali ibaki kwa wachezaji hivi hivi waendelee kua na spirit ya namna hii kila siku. Timu ipo vizuri ila bado hatuna creative midfielder wa kusaidiana na POGBOOM. Bruno anahitajika bado January. We are united no one can stop us mategemeo kwenye game kama hii ni kuchukua point moja ila tumepata 2 extra points so today was a good day. GGMU Dream the impossible.
Dah man utd tuna maneno,sioni watu wakiongelea mapungufu yetu eneo la kati. Hii chelshit sio kikosi cha kwanza kwa nijuavyo mimi.
Bado tulihitaji kuwa na Bruno. Daemusin kama niaminivyo mimi,kipimo chetu kamili ni mbweha.
GGMU
Man u ni koloni langu ko kwenye furaha ntaungana na ninyi ila mkifungwa mtanisamehe hakuna anaependa shida
Hongera kwenu
Note: pogba ni kama ndimu uchachu wake ndio utamu wake