Manchester United (Red Devils) | Special Thread

hahahha.... nadhani man u ndio moja kati ya timu bora msimu huu... coz all ze players wana passion na timu..
 
Ukikaa kimya na kusubiri itakuwa heri kwako, mengine haya utakuja kuaibika siku moja ukose pa kushika. Mpira uache uitwe kwa jina lake maana haukosi maajabu kila siku.
Kama liva kumtoa barca kisa kuchukua kombe
 
Bora Chelsea mara mia; kuna jamaa anasema kesho hii ndo timu ambayo inaweza kuchaguliwa kushindana na timu ya Man City
 

Attachments

  • Screenshot_20190810-210626.jpg
    76.8 KB · Views: 20
Bora chelsea mara mia hahah? Kwa mtazamo wangu mna overrate chelsea sana. Wkt bado ni timu ya kawaida tu. Iaitoshe hawajasajili zaid wameuza tu means wanarudisha kikos kilekile cha mwaka jana.
Bora Chelsea mara mia; kuna jamaa anasema kesho hii ndo timu ambayo inaweza kuchaguliwa kushindana na timu ya Man City
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…