Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 29,030
- 51,571
Sina uwezo wa bisaka. Na kukurekebisha tu. Hata man city wamewahi kumtaka maguire.Sasa mkuu vvd uwezo wake kitambo tu ulionekana, hata sisi Chelsea tulianza mfukuzia kitambo tu. Club nying kubwa zilimtaka..sasa kwa magwaya naona mumelamba garasa kimtindo, japo kuna game ana perform vizuri tu ..ila Bissaka apo uhakika anaeza kuja kuwa Patrice Evra kama Ole akimtumia vizuri.
Usisahau pia majority ya "world class" players na wachezaji wazuri wa kingereza pia Wanatoka Man U, kuanzia kizazi Cha Kina Charlton na George best, Cha kina Giggs, Beck na Scholes, Cha kina Rooney, Carrick na Rio, mpaka Sasa Cha kina Rashford, AWB na Maguire.
Hata Mafanikio Yao ya Uingereza yanatokana Man U, World cup pia ilitokana na sisi ile trio yetu (wawili England)
England hajabeba 1996 Ni 1966 na wachezaji wa Man U waliokuwepo Ni Kama
1. Mzee mwenyewe Sir Bobby Charlton
2. John Connelly
3. Nobby Stiles
Source
en.m.wikipedia.org/wiki/1966_FIFA_World_Cup_squads
Na hi ndio All star team ya hio World cup
View attachment 1173751
Charlton unamuona Hapo?
Mwaka 1966 Charlton ndio alikuwa mchezaji Bora akachukua Hadi Uefa player of the year akimpita Eusebio.
Na amepewa Hilo jina Sir na malkia wa Uingereza sababu ya Hio world cup.
Ole hamalizi msimu.Nimekuelewa sana tu mkuu. Ila kuna namna ya kulisema wakati wa mahojiano na waandishi wa habari lisilete taswira mbaya kati yake na mwajiri wake.
Mara nyingi swali la usajili linapoulizwa,yeye huwa anakimbilia kusema wachezaji alionao wanamtosha,matokeo yake inafikirika kuwa usajili wa Bruno au kiungo yeyote unachagizwa zaidi na fans au media kuliko mahitaji yake. Ndio maana ed alikuwa atuletee dybala na inshu ya kiungo/Bruno ingesahaulika.
Yeye ole huwa anasema one or two more signings is enough. Hayuko specific sana na eneo letu la kati kuwa kuna void pale.
Sijawahi kusikia akionekana kuongelea shida ya nafasi yetu ya kiungo.
Mkuu, huyu lukaku wiki jana kafanya uvunjifu mkubwa sana wa maadili, Nina uhakika alichokifanya alifanya huku akijua ni makosa.Inasikitisha jinsi tunavyo handle issue ya Lukaku.
Kama Ole karidhika kumchezeha Lingard na Rashford bora angemuweka Lukaku sokoni ila si kwa anavyofanya hivi.
Lukaku deserves some respect. Angewekwa tu sokoni tu Juventus waokote dodo.View attachment 1173860
1. Boby Charlton Kama mchezaji Bora zaidi kipindi hicho (think of Messi au Ronaldo) na performance yake ilivyokuwa kubwa na Hadi title ya sir kupewa inatosha kabisa kuonyesha Mchango wa Man U kwenye Hilo kombe.Mkuu kweli unaipenda Man United lakini kuwa Mkweli Mchezaji wa Man United aliyekuwa anacheza panga pangua katika World Cu ya 1996 ni Mmoja tu Sir Bobby Charlton.
Kwa ujumla Katika Top 6 hii ya sasa waliokuwa First XI ni:-
1) Bobby Charlton (Man United)
2) Roger Hunt (Liverpool)
3) Jimy Greaves (Spurs)
4) George Eastham (Arsenal)
Chelsea na Man City hazikuwa na mchezaji aliyekuwa akicheza hata sabs.
Na hizo 4 nilizozitaja zilikuwa na mchezaji mmoja tu kila timu ambaye alikuwa akipata namba, Waliobakia wote wanatoka Midtable teams ambazo kwa wakati huo zilikuwa Timu kubwa.
Hata Sancho, hao madogo wapo vizuri sema tumejaa hofu au hatuna scouts wenye jicho kaliHivi man united hatukuwahi muona huyo dogo..joao felix kweli?
SureInasikitisha jinsi tunavyo handle issue ya Lukaku.
Kama Ole karidhika kumchezeha Lingard na Rashford bora angemuweka Lukaku sokoni ila si kwa anavyofanya hivi.
Lukaku deserves some respect. Angewekwa tu sokoni tu Juventus waokote dodo.View attachment 1173860
Hapo kwa rashford tujiandae kisaikolojia tu,dalili zinaonyesha hakuna kitu cha maanaSure
Lukaku needs some respect..
Wanamtreat hovyo sana..
Ila labda kuna kitu amekosea
Huyu ole ngoja tumwone na Rashford wake..maybe anaweza kutuprove wrong,tofauti na hapo watu hawatamuelewa
Hapo kwa rashford tujiandae kisaikolojia tu,dalili zinaonyesha hakuna kitu cha maana
Rashford au martial co watu wakufunga goli 20 plus na hata greenwood co wakumtegemea mbele bado 2nakaz...
Huyu jamaa hajakoseaRashford au martial co watu wakufunga goli 20 plus na hata greenwood co wakumtegemea mbele bado 2nakaz...
Mfumo atakaouleta Ole sio wa kutegemea striker wa kusimama afunge magoli, ndio maana unaona Lukaku hayupo kwenye plan zake, tegemea uwiano wa magoli toka watu wengi zaidi, Sanchez, pogba, martial, lingard, Rashford etc.Rashford au martial co watu wakufunga goli 20 plus na hata greenwood co wakumtegemea mbele bado 2nakaz...
Naona tunahusishwa na Eriksen, kwamba wao wakimpata Bruno sisi tunachukua Eriksen.
Robin Van Persie
30 goals in his debut season.
Moja ya usajili bora kabisa wakati wa SAF.
Jaribu kufuatilia utajua, Lukaku ndio mwenye makosa toka mwanzo.Sure
Lukaku needs some respect..
Wanamtreat hovyo sana..
Ila labda kuna kitu amekosea
Huyu ole ngoja tumwone na Rashford wake..maybe anaweza kutuprove wrong,tofauti na hapo watu hawatamuelewa
Kwenye post yangu niwesema pia labda kuna kitu kakosea..Jaribu kufuatilia utajua, Lukaku ndio mwenye makosa toka mwanzo.
Timu imechukua Uamuzi mzuri, kwa sababu jamaa kashawakosea teammates wake. Kumrudisha kikosini, kuta disrupt dressing room.