Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
Timu kama inaweza kutengeneza 25 chances per game na isitumie hata Moja huwezi kuita ni timu bora.Kwamba mkuu unaangalia mpira hata hilo linakushinda kutambua? Jamaa amekwambia timu inatengeneza nafas 25 zinafungwa goli ngapi?
Timu ya namna hii inaweza kutoka sare na timu yoyote hata ya daraja la nne na yawezekana ilizipata nafasi hizo siyo kwa ubora wake Bali kutokana na udhaifu wa timu iliyokutana nayo.
Kama nafasi hizi zote angekosa mchezaji mmoja ningesema mchezaji huyo ndiyo mwenye mapungufu ila timu ni nzuri.
Kuna timu chache sana epl zitakuruhusu utengeneze hata Five scoring chances sasa katika 25 umeconvert Moja tena mbele ya kristiansund bado utajiita ni timu nzuri ?
Kwa maana hiyo tutegemee kufungwa na timu yoyote yenye conversion rate nzuri na sisi tukaendelea kujisifia utengenezaji wa scoring chances tu bila kuzitumia.
Midtable team za epl hutengeneza nafasi chanche sana zinapocheza lakini katika nafasi tatu wanaweza kufunga hata mbili sasa ukikutana nao hao unayeshindwa kutumia 25 chances watakubakiza salama ?
Timu bado sana hii tuache kujificha kwenye kivuli cha mchicha kama alivyosema Daemusin