Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,924
- 27,165
Hawa wanaelewa sema wanajikuta vichwa ngumu. Yan wanazidi kutuongezea muda mbele wa sisi kuanguka.Sina wasi wasi kabisa na kikosi changu, japo sitegemei makubwa lakini na imani tunaeza leta ushindani mkubwa tu, kwani msimu huu uloisha tulikuwa na forward gani ya maana sana?
Martial alinyang'anywa namba na Zlatan Ibrahimovic mpaka akaamua Ku unfollow social media zote za man united.You have a point. But do you remember martial alipokuja man u. He was first choice.. namba tisa matata sana.
The guy he stoped playing baada ya kunyang'anywa jezi. Kupelekwa kwenye wing na nafasi yale akapewa rushford. Shida ikaanzia hapo.
Glazers wameshachukua mkopo mwingine.Wenzetu kila siku Wana improve academy, sisi hela zetu hazijengi uwanja, hazi improve academy Wala kufanya Jambo lolote la maana, Everton wanajenga na wao uwanja
Arsenal, Spurs, Westham, na Sasa Everton, ukimtoa Arsenal hao wengine walikuwa timu Ndogo ila Sasa hivi Spurs na sisi hatuna Tofauti, Na Hata Hao Everton na Westham atlest kwenye kuspend tupo nao sawa kwa Sasa.
Mpaka tunavyoongea Sasa Aston Villa wameshaspend 99m pounds kununua watu, sisi Bf anatushinda tetesi tuna 100m tu na 67M zimeshatumika haji mtu mpaka tuuze.
Mwaka wa tatu huu hajapata hiyo attitude.Akiwa everton yes. but huyu wa man u ni kama kajisahau au mfumo umemkataa.
Nikqambie lukaku akiwa everton alikuwa ni lethal striker.. he was so good kuliko martial.
But alipokuja man u akasahau kucheza mpira.. kanenepeana..
Martial ana skills. Anacholuck ni attitude. Ila akiwa na atittude nzuri. Martial ni lethal kuliko lukaku
Wanakwambia Martial akiwa na attitude anakuwa lethal.Lukaku is better striker than Martial statistics never lie ,kwa misimu 4 iliyopita Lukaku amefunga magoli 93 Martial amefunga magoli 48 timu ya taifa Lukaku amefunga magoli 48 Martial kafunga goli 1
Alegri hana timu anavizia kati ya kibarua cha Ole au lampardHivi Ole akifukuzwa, kocha gani anafaa kuja kuifundisha United?
Ameuliza kocha gani anafaa, sio kocha gani yupo free.Alegri hana timu anavizia kati ya kibarua cha Ole au lampard
SMS ni nani ?
Kwan huyo lukaku si ameflop msimu mmoja tu, unakumbuka msimu wa 2017/2018 alivyokuwa akitupia magoli. Ngoja wamuuze lukaku wabaki na rashidi, tutaelewana tu.Mkuu haya ni matusi. Hivi mchezaji anayekupa magoli 20 au zaidi kwa msimu mmoja unasemaje kashindwa? Dybala Italy hakujamshinda ni basi tu kawa chini ya Ronaldo na kupata playing time finyu. Msimu uliopta tu japo alikua anatokea benchi mara kwa mara kafunga magoli 12.
Juve keshacheza mechi 191 kafunga magoli 81 assist 28. Yaani amehisika kwenye magoli 109. Huyu mtu mpira umemshinda kweli?
Trust me Man united haitasajili mtu yoyote wa maana kwa siku zilizobaki.Sergeij milinkovic savic
Hizo habari za kuwa vijana wahawezi kushinda makombe ni upuuzi wa kiwango cha juu. Hii hata sir feg aliwahi kusema huwezi pata makombe kwa kutumia vijana wadogo. Lakini Ajax wamewaprove wrong.
Yani mkuu ukiona mtu kavaa skafu, ama jezi ya njano na kijani ujue ni Ant Glazzer, waliandamana Sana mpaka miaka ya 2010 baadae kukatulia kidogo, vugu vugu linakuja na kuondoka, hasa kipindi Mou anakaribia kufukuzwa lilipanda TenaIvi hii hali wale manchunian wanaichukuliaje?? Muda mwingine huwa nalikubali sana soka la bongo huyo glazer angekua hapa iyo timu ashaikimbia
Watu wanasajili imebaki siku moja. Sembuse wiki mbili.Trust me Man united haitasajili mtu yoyote wa maana kwa siku zilizobaki.
Mwaka wa tatu huu hajapata hiyo attitude.
Hivi Ole akifukuzwa, kocha gani anafaa kuja kuifundisha United?
Yani mkuu ukiona mtu kavaa skafu, ama jezi ya njano na kijani ujue ni Ant Glazzer, waliandamana Sana mpaka miaka ya 2010 baadae kukatulia kidogo, vugu vugu linakuja na kuondoka, hasa kipindi Mou anakaribia kufukuzwa lilipanda Tena
Mashabiki wa Man UTd mamilionea wenye Hela wali rise Hadi 1B USD kuinunua club ila Wamarekani wakachomoa,