Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,563
- 21,517
Haya pia ni maajabu mtu hujaAngalia game ila unamponda Pogba .. Bongo nyoso..Martial anatakiwa kuongeza bidii mnoo, sio leo wala jana hichi kitu kmeonekana kwa martial.
Greenwood naona aanze kama RW msimu ujao kama tusipopata mtu.
Pogba kiukwel ni mchezaj mzur sana hakuna anaebisha hili nadhan kila mtu anajua, kinachomuangusha ni attitude na mentality yake tu bas, akiamua kua serious na kupambana vilvyo jamaa ni bonge la player kiukwel.
All in all mm sjachek game lakn assesment yako nimeielewa mkuu, japo sjaona comments za DJ na AWB apo
