Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 20,517
- 30,587
Huoni hapo dembele atakuwa benchi ?Hapana, Haihitaji Messi akae bench (kitu ambacho hakiwezekani).
1.AG anaweza kucheza nyuma ya ST Messi akacheza RW.
2.AG anaweza kucheza LW.
3. AG na Messi wanaweza kucheza wote mbele kama two STs
4. AG anaweza kucheza kama ST( kama Ferminho).
BTW.
Ngoja tuone na sisi leo OLE anakuja na mfumo gani.
Ila ningependa Martial tumtumie zaidi kama ST.