Samahani rafiki, umekosea kidogo.Kuna Nikola Millenkovic Savic ambaye ni central defender na kuna Sergej Millinkovic Savic ambaye ni midfielder.
Pamoja mkuuSamahani rafiki, umekosea kidogo.
Huyo beki, jina lake halina Savic.
ni Nikola millenkovic. Kwingine kote uko sawa.
Ni hayo tuu.
Hahahahahahahahah Relax mkuu hawatakuwa na madhara yoyote kwa timu yako hawa tuachie sisi ndio level yetu kwa sasa.Griezman Suarez Messi
Kuna watu wapo serious sana na mambo yao...
Griezman naona hatakuwa na input kubwa hapo Camp NouGriezman Suarez Messi
Kuna watu wapo serious sana na mambo yao...
Griezman naona hatakuwa na input kubwa hapo Camp Nou
Griezman siyo wa kawaida ila pale Barcelona kumwezesha acheze vizuri italazimika ama dembele akae bench au Lionel Messi akae bench.Griezman wakawaida Barcelona ikimpata neymar ndio watarudi kwenye ushindani
Hapana, Haihitaji Messi akae bench (kitu ambacho hakiwezekani).Griezman siyo wa kawaida ila pale Barcelona kumwezesha acheze vizuri italazimika ama dembele akae bench au Lionel Messi akae bench.
Hahahahahahahahah nimecheka sana huu mstari wa mwisho Ngoja tuone na sisi leo OLE atakuja na mfumo gani hahahahahahahahah wachezaji si walewale na Mfumo ni uleule tu hahahahahahahahahHapana, Haihitaji Messi akae bench (kitu ambacho hakiwezekani).
1.AG anaweza kucheza nyuma ya ST Messi akacheza RW.
2.AG anaweza kucheza LW.
3. AG na Messi wanaweza kucheza wote mbele kama two STs
4. AG anaweza kucheza kama ST( kama Ferminho).
BTW.
Ngoja tuone na sisi leo OLE anakuja na mfumo gani.
Ila ningependa Martial tumtumie zaidi kama ST.
Hahahahahahahahah nimecheka sana huu mstari wa mwisho Ngoja tuone na sisi leo OLE atakuja na mfumo gani hahahahahahahahah wachezaji si walewale na Mfumo ni uleule tu hahahahahahahahah
Kama kuna mtu mwenye link atuwekee hapamnaendeleaje mashabiki wenzangu?? mimi msoma comments humu nawakumbusha tu game yetu ya kujiandaa na msimu mpya ni leo saa 8 mchana.
GGMU
Mkuu relaxNaanza kupoteza imani na huyu kocha wetu..mtu kama YOUNG na Jones hawakupaswa kuwepo kabisa kikosini hadi muda huu.lkn young ndio captain alaf nje yupo BISSAKA na DALOT wasugua benchi..huu ni ushenzi wa kiwango cha lami..huyu jamaa atafukuzwa siku si nyingi akiendelea na ujinga huu