Na Fabio Bolin pamoja na Iago Aspasmkuu lakini wao hiyo hatua kwa kiasi kikubwa wameshaipita lakini kwetu sisi bado tunaendelea nayo.
maisha yote anayeshinda vita ndiye mwenye haki ya kuandika historia haijalishi ni uongo.
nimemkumbuka david ngog, lazar markovic pamoja na alberto aquilani
teh teh
Until time comes for the Glazers to decide to sell ManU in their own terms, no one can take them out!
[/QUOTEA
When?You were all singing that cnuting song ole's at the wheal.
#Hypocrisy
Eeeh sasa kwenye mpira mistake si zipo muda wote,aidha za kusababisha wewe mwenyewe au wenzakoMaldini alishawahi sema, 'if a player has to make a tackle that's because there was already a mistake'
And i Will say fu. Ck u graizer
Huyu jamaa yuko safi sana...Hivi Man U c wavunje benki wamchukue Khalidou Koulibaly? Yule CB ni kitasa cha hatari.
-Anapandisha timu,
-mzuri Wa mipira ya kona na faulo,
-mhamasishaji,
-mnyama yaani ana roho mbaya,
-anatia mguu usipotarajia,
-ana nguvu,
-anajua kujipanga na kuwasiliana vema na kipa wake,
-anaelekea miaka 28 kitu ambacho ndo yupo ktk kipindi bora kabisa kimpira
- anaongea na refa,yaani ana kila kitu cha kuwa kiongozi
Huyu jamaa namuona kama ni centre back solid kuliko yeyote kwa sasa ila tu timu aliyopo ndio inamficha.
Hiz habari zimepamba moto sanaTransfer Talk: Aubameyang ready to replace Lukaku at Man United?
Arsenal striker Pierre-Emerick Aubameyang is seen as a potential replacement for Romelu Lukaku, and he may be keen. Transfer Talk has the latest.africa.espn.com
Sisi na nyie hatuchekani, Atleast Spurs Ama Arsenal Kidogo wanaweza wakajisifu. maana mna Rundo la maflop kina Ings, Caroll, lambert, Balotteli, benteke, Grujic, karius etc
Hao kina Balotelli na Benteke?Katika hao uliowataja Flop ni Carroll tu! You know why?
Huwezi kununua mchezaji kwa £8m then ukamwita Flop wakati tokea unamnunua unajua kuwa hiyo ni bei ya wachezaji below performance.
Carroll ndiye pure Flop ukilinganisha na bei aliyonunuliwa ya wakati huo unaweza kumnunua Pogba.
Wangemuuza tu Pogba.Felix anaenda Atletico madrid, Benfica wenyewe wame confirm 112M.
Kama Pogba anaondoka Tunamuhitaji zaidi Bruno Fernandes kuliko Felix. Fernandez ni midfield ya katikati kabisa na magoli mengi anayofunga hayo ni Free kicks na mashuti ya Mbali,
Felix yeye ni kama namba 10, anacheza nyuma ya striker ndio maana hata Atletico anakwenda kuvaa Viatu vya Griezman
Hao kina Balotelli na Benteke?
Wangemuuza tu Pogba.
Benteke na Caroll tofauti 2.5m tu, benteke kaja kwa 32.5m. Na ukiweka Addons usajili wake ume wa cost zaidi ya 41m. Ni mchezaji wa 4 ghali zaidi kusajiliwa na Liverpool nyuma ya Keita, Allison na Djik.Hao wamenunuliwa kwa hela ya kawaida tu, na viwango vyao vya kawaida walivyokujanvyo ndiyo walivyoondoka nyavyo.
Hence, hawakuflop wala kuboreka! Benteke was Benteke, Balo was Ball.
Pogba ni Icon wa Timu, hawezi kuuzwa tu kirahisi hivyo kama unavyodhani.
Adidas na woodward hawawezi kumuacha hivi hivi na akiondoka ujue anakuja mwengine kuuza jezi.Wangemuuza tu Pogba.
Ungeweka na kamfano ungemaliza kila kitu, mi naanza na dybalaAdidas na woodward hawawezi kumuacha hivi hivi na akiondoka ujue anakuja mwengine kuuza jezi.
Dyabala hawezi kuwa upgrade ya Pogba kwenye mauzo ya jezi.Ungeweka na kamfano ungemaliza kila kitu, mi naanza na dybala
makombe yenu ni kuuza jezi sio?Dyabala hawezi kuwa upgrade ya Pogba kwenye mauzo ya jezi.
Angalau Antoine Grizman ndiyo anaweza kubattle na Pogba sokoni, au hao watoto wanaochipukia hivi karibuni kama kina Mbappe, Joao Felix etc
makombe yenu ni kuuza jezi sio?