Mkuu Rashford aliaminiwa kutokana na kukosa options kwenye mechi yake ya kwanzaMbona Rashford aliaminiwa hivyo hivyo ?
fikria hata kikosi cha real madrid kilichobeba makombe mara tatu mfululizo msingi wake mkubwa ulianza kujengwa kuanzia mwaka 2009 chini ya raisi ramon calderon aliyewasajili ronaldo, alonso, benzema, kaka, raul albiol.Mkuu uko sawa kabisa... Ukirejea list ya walioondoka na waliopo sasa hatupati hata droo, mfano:-
1. Ben forster
2. Rafael
3. Buttner/Evra
4. Mcnaire
5. Evans
6. M.Sneiderlin/ Fellain
7. Di maria/ Januzaj
8. Herrera/ Clavery
9. Chicharito/ Macheda
10. Rvp/ Welbeck
11. Depay
Achana na akina Rooney, Zlatan, Anderson, Gibson, Falcao n.k
Mkuu unachosema ni kweli lakini yote yanawezekana, cha msingi kazi moja ianze na nyingine inafuatahuwezi kukimbilia kujaza wachezaji klabuni haliyakuwa waliopo hwajapata sehemu ya kujisitiri, kufanya hivyo ni kuongeza kiwango cha gharama za matumizi ya mishahara.
huwezi kukimbilia kumnunua wan bissaka au mounir haliyakuwa hufahamu mustakabali wa matteo darmian, kama ataondoka itakuwa ni faida kubwa sana kwa sababu gharama zake za huduma zitahamia kwa mchezaji mwengine.
inter milan wanahitaji kwanza kumuondoa mauro icardi ndipo watafute mbadala wake kati ya lukaku au edin dzeko, ndio maana wapo tayari kufanya swap deal mbele ya man utd au AS Roma.
juventus wanavutiwa na huduma ya pogba lakini wapo tayari kutupa dyabala na mchezaji mwengine kwa mujibu wa taarifa.
real madrid kama kawaida yao wanafanya biashara ya ununuzi kwanza then ndio watafanya biashara ya kuuza,ujio wa hazard, jovic, mendy na wengineo utaondoka na bale, james rodriguez, navas na wenngineo.
barcelona wameganda kwenye usajili wa antoine griezmann, unamleta griezman na de ligt lakini umtiti, coutinho, dembele, rakitik, malcom, vermaelen bado wamegoma kuondoka na release clause ni kubwa.
ina maana gharama za mishahara zitaongezeka klabuni kwao kama wote watakusanyika kwa pamoja.
ukija kwetu ni nani anayemuhitaji sanchez?
james mbio nyingi ndiye aliyesajiliwa mkuu.
dogo amekazana kama shaqiri wa liverpool
hahahahaaaa wewe acha tu,Mkuu mbona umeanza kumfharau mapema?
Hivi unayohabari kuwa huyo dogo ndiyo walewale Watoto wa Malkia?
ndio tunavyo ombea yafanyike mabadiliko hayo, niko radhi tushindwe kusajili mchezaji yeyote kuliko kuendelea kuwapa nafasi vilaza wa kila siku.Lakini imagine, aliondoka Sanchez, Valencia, Rojo, Darmian, Herrera (japo roho inauma) jumlisha na wachezaji walioondoka bila replacement kutakuwa na free space pale United
Kuna na wachezaji 18 ambao nifikria hata kikosi cha real madrid kilichobeba makombe mara tatu mfululizo msingi wake mkubwa ulianza kujengwa kuanzia mwaka 2009 chini ya raisi ramon calderon aliyewasajili ronaldo, alonso, benzema, kaka, raul albiol.
baadae wakaongezwa ozil, dimaria, khedira, carvalho, varane, coentrao, callejon, luka modric, kroos, bale n.k
hawa wote wametumikia klabu takribani miaka mitatu hadi nane mbona madrid wamefanikiwa?
ndio maana nikasema hoja ya kuwa na wachezaji 18 tokea mwaka 2015 ndio chanzo cha sisi kufanya vibaya ni dhaifu.
mkuu tatizo letu hao wachezaji 18 wengi wao ni under performing ndio maana wazee wa takwimu uchwara wakapata cha kuongea.Kuna na wachezaji 18 ambao ni
Underperfoming tokea 2015 hadi leo ni kosa kubwa sana..ikiwekwa hivi je mkuu??
True..Ili swala la kusema mchezaji fulan anakipaji wakati kipaji chake hakitusaidii ni upuuzii n muda wa MAN U kusajili wachezaji sahihi kwa nafasi sahihi tena bila kujali watu wenye majina makubwa tunahitaji mashinee za kupiga kazi na kuleta mafanikio...tangu nianze kusikia sijui flan anakipaji sijui nn...United inatakiwa irudi enzi za babu fergiii anasajili mtu kwa kazi na ushindi wale kina flechaa,carrick,Neville,brown,valencia hawakuwa na vipaji lakn walipiga kazi mwanzo mwisho tukanyakuwa vikombe kazawakaza....kipaji tupia Kuku akuleeView attachment 1119806
wote hao ukiwaondoa hakuna hasara yoyote tunayoipata, uongozi wa man utd umejawa na uoga wa kipumbavu.Yaani kwa upande wangu ni bora tuwaondoe;
√Ashley Young
√Sanchez
√Darmian
√Rojo
√Lingard
√Jones
Then tumrudishe Tuanzebe,na kuwapa nafasi Greenwood na Chong,kuliko kuwapa hawa vilanza chansi next season
Nimesikia atletico madrid wanamtaka Sanchez kama mrithi wa AG.huwezi kukimbilia kujaza wachezaji klabuni haliyakuwa waliopo hwajapata sehemu ya kujisitiri, kufanya hivyo ni kuongeza kiwango cha gharama za matumizi ya mishahara.
huwezi kukimbilia kumnunua wan bissaka au mounir haliyakuwa hufahamu mustakabali wa matteo darmian, kama ataondoka itakuwa ni faida kubwa sana kwa sababu gharama zake za huduma zitahamia kwa mchezaji mwengine.
inter milan wanahitaji kwanza kumuondoa mauro icardi ndipo watafute mbadala wake kati ya lukaku au edin dzeko, ndio maana wapo tayari kufanya swap deal mbele ya man utd au AS Roma.
juventus wanavutiwa na huduma ya pogba lakini wapo tayari kutupa dyabala na mchezaji mwengine kwa mujibu wa taarifa.
real madrid kama kawaida yao wanafanya biashara ya ununuzi kwanza then ndio watafanya biashara ya kuuza,ujio wa hazard, jovic, mendy na wengineo utaondoka na bale, james rodriguez, navas na wenngineo.
barcelona wameganda kwenye usajili wa antoine griezmann, unamleta griezman na de ligt lakini umtiti, coutinho, dembele, rakitik, malcom, vermaelen bado wamegoma kuondoka na release clause ni kubwa.
ina maana gharama za mishahara zitaongezeka klabuni kwao kama wote watakusanyika kwa pamoja.
ukija kwetu ni nani anayemuhitaji sanchez?
Tusubiri tuonewote hao ukiwaondoa hakuna hasara yoyote tunayoipata, uongozi wa man utd umejawa na uoga wa kipumbavu.
- smalling hapati majeruhi ovyo ana uwezo wa kuziba nafasi ya jones na rojo
- ashley young, valencia, darmian nafasi zao zitazibwa na usajili mmoja tu lakini awe na uwezo wa kutumia miguu yote miwili itapendeza zaidi kama alivyo diogo dalot, faida kubwa ya ashley young ni uwezo wake wa kuziba pande zote mbili tunapokuwa na majeruhi.
- list yako ina waingereza watatu, ukiwaondoa hao baadae ukamleta james maddison waingereza wataziba midomo yao. maddison yupo vizuri zaidi ya jesse lingard kwenye utengenezaji wa nafasi ambalo ndio tatizo letu kubwa sana.
tetesi za bruno fernandez zimenipa furaha kubwa sanaTusubiri tuone
Mkuu sijawatukana ila siku zote ukweli unauma MANCHESTER UNITED inaelekea kwenye Championship Level unaposign wachezaji wa aina ya Championship Level unategemea niniakutukanaye hakuchagulii tusi.
ahsanteni mabingwa wa dunia watarajiwa
Mkuu nakuomba kwa heshima zote umuondoe mtumishi wa wa Bwana "Marcus Rojo " katika hiyo orodha ya wahuni wa Tandika ..Yaani kwa upande wangu ni bora tuwaondoe;
√Ashley Young
√Sanchez
√Darmian
√Rojo
√Lingard
√Jones
Then tumrudishe Tuanzebe,na kuwapa nafasi Greenwood na Chong,kuliko kuwapa hawa vilaza chansi next season