Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huyo mzee wa nini pale united
Inter Milan imesema ipo tayari kutoa pauni 30milioni pamoja na winga Ivan Perisic ili kuipata saini ya mshambuliaji wa Manchester United, Romelu Lukaku.
Winga huyo wa Croatia, Perisic amekuwa akihusishwa muda mrefu kutakiwa na Manchester United, huku Lukaku akishindwa kuonyesha ubora wake chini ya kocha Ole Gunnar Solskjaer.
Kwa mujibu wa Gazzetta dello Sport la Italia, ambalo limesema kuwa Inter inamtaka Edin Dzeko kutoka AS Roma.
Lukaku amecheza mechi 45 za mashindano yote ndani ya Manchester United msimu huu na kufanikiwa kufunga mabao 15, huku klabu hiyo ikimaliza nafasi ya sita katika msimamo wa Ligi Kuu England.
Inter nayo ipo katika vita ya kuwania kufuzu kwa Ligi ya Mabingwa kupitia Serie A.
Inter ipo nafasi ya nne ikiwa mbele kwa pointi moja kwa watani zao wa jadi AC Milan na mbili zaidi ya Roma huku kila timu ikiwa na mchezo moja mkononi.
 
Hivi Man u hawamuoni Leroy Sane hadi waanze kutoa pound 88 kwa hako katoto ka Benfica?
Sidhani kama itawezekan ila Bayern ndiko mama yake Sane anashinikiza akacheze na baba ndy Agent!! Mkataba unataka renewing mda sana ila ukinzani fln umekuwepo!!
Sane ni bayern tu wamemtaka so cyo mulit-reported player kivile!!
 
Bayern amejipeleka kichwa kichwa na atapigwa kweli Sane hana thamani ya €80 ml
Sane amenunuliwa kwa paundi 40+ wakati huo ana miaka 20 kama sikosei, sasa hivi ana miaka 23 unategemea atauzwa hela ngapi na mfumuko wa bei kwa wachezaji jinsi ulivyo
 
FB_IMG_15587220884826694.jpeg

Ebwana huyu dogo anasumbua sana mtaani.
 
Back
Top Bottom