Si itakuwa timu ya Waingereza watupu ikiwa hivyo naona dalili ya kugombania kushuka daraja iledean henderson anatosha degea wa nini?
ENGLAND UNITED
View attachment 1104699
1. dean henderson 2 wan bissaka 3. luke shaw 5. smalling 4. lindeloff 6. declan rice 7. daniel james 8. sean longstaff 9. rashford 10. pogba 11.zaha
picha linaanza Napoli imekataa paundi 96 mililioni LEO kwaajili ya Kolidou Koulibaly narudia tena paundi milioni 96 zimekataliwa leo kwaajili ya beki.tatizo linakuja kwenye market.
unataka kumuondoa smalling na jones kwa wakati mmoja halafu bajeti yako ya usajili ni paundi millioni 200.
unahitaji winga
unahitaji kiungo wa chini baada ya kuondoka herrera
unahitaji playmaker
unalalamika striker wako ni butu
unahitaji mlinzi wa kati
unahitaji mlinzi wa kulia
hatuna jeuri ya kufanya mabadiliko makubwa kama hayo, ni man city pekee ndio wenye jeuri hiyo.
mkuu kwani hizi tetesi huzifuatilii?Si itakuwa timu ya Waingereza watupu ikiwa hivyo naona dalili ya kugombania kushuka daraja ile
kwani pale laliga hatuwezi kupata mlinzi mmoja wa kati mwenye degree ya kulinda kwa bei ya afadhali?picha linaanza Napoli imekataa paundi 96 mililioni LEO kwaajili ya Kolidou Koulibaly narudia tena paundi milioni 96 zimekataliwa leo kwaajili ya beki.
halafu mbaya zaidi hakuna atakejali kwamba umeangalia au LAHata tungemchukua Poch na akafanya yanayofanyika sahivi mtaishia kusema hamna imani nae.
As long as nimeshajua matatizo ya United ni wamiliki na CEO Woodward, kila atakachofanya kocha namuunga mkono kwasababu naamini ana nia ya kuifanya United bora.
Ila kama msimu ujao tutaanza tupo na Smalling, Jones na Young sitaangalia mechi yeyote ya United hadi hao jamaa waondoke.
Mmmhh hii hela ni nyingi sana ila ni ndogo kwao!! Market imechafuka sanapicha linaanza Napoli imekataa paundi 96 mililioni LEO kwaajili ya Kolidou Koulibaly narudia tena paundi milioni 96 zimekataliwa leo kwaajili ya beki.
mimi na wewe huenda tukawaona ila sijui huko kwenye top management wanaonaga nini.kwani pale laliga hatuwezi kupata mlinzi mmoja wa kati mwenye degree ya kulinda kwa bei ya afadhali?
unaweza kupata mabeki wawili wa kazi kwa pesa hiyo ila ndo hivyo tenaMmmhh hii hela ni nyingi sana ila ni ndogo kwao!! Market imechafuka sana
let's waitlakini tunaaminishwa ya kwamba tuna network kubwa sana ya scouting duniani
Binafsi naona beki ndo cha kwanza kabisa kukirekebisha, winger wanafuata.tatizo linakuja kwenye market.
unataka kumuondoa smalling na jones kwa wakati mmoja halafu bajeti yako ya usajili ni paundi millioni 200.
unahitaji winga
unahitaji kiungo wa chini baada ya kuondoka herrera
unahitaji playmaker
unalalamika striker wako ni butu
unahitaji mlinzi wa kati
unahitaji mlinzi wa kulia
hatuna jeuri ya kufanya mabadiliko makubwa kama hayo, ni man city pekee ndio wenye jeuri hiyo.
I'm talking bout their playing styles!What should we learn from those scums? +10yrs without trophy?
Over rated player!!!!picha linaanza Napoli imekataa paundi 96 mililioni LEO kwaajili ya Kolidou Koulibaly narudia tena paundi milioni 96 zimekataliwa leo kwaajili ya beki.
Dogo yupo vizuri sana huyu, mix ya KAKA na Messi
Duh huyu anastaili kununuliwa anajicho la 3 hatari
Mkuu hawa dortmund wana'skauti ya hatari sana maana wachezaji wao huwa wanawaokota mafichoni huko lakini wanakuja kuwa moto wa kuotea mbali.wakuu kama tunahitaji kumsaidia OGS ajenge timu ya muda mrefu kwa kukusanya vijana wenye vipaji basi tunapaswa tukamng'oe michael zorc pale borussia dortmund, jamaa anafanya kazi nzuri mnooo..
leo hii dortmund wamekalisha usajili wa wachezaji wawili wenye ufundi kuliko..........…
wakuu kama tunahitaji kumsaidia OGS ajenge timu ya muda mrefu kwa kukusanya vijana wenye vipaji basi tunapaswa tukamng'oe michael zorc pale borussia dortmund, jamaa anafanya kazi nzuri mnooo..
leo hii dortmund wamekalisha usajili wa wachezaji wawili wenye ufundi kuliko..........…
Their determinations, ambitions and hunger for achievements is very impressive.
Team yetu haina tofauti na ndanda mkuuKwa hizi tetesi na sajili za united siioni timu kuinuka ... Huu ni ukweli mchungu...
Mimi ni mshabiki lialia wa ligi ya German, Spain na Italy.
Kuna wachezaji ninawafahamu (Average) players kutoka kwenye hizo ligi sioni hata wakihusishwa ... Unabaki kusikia wakina James Rodriguez etc .
Anyway Ngoja tuone ila kama kinachoendelea kwenye tetesi ndicho kitafanyika tusitarajie lolote next season .